jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Ila wangeunga mkono hao wapingaji wangekua mashene shibe?Ma sheikh njaa hao
#MaendeleoHayanaChama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila wangeunga mkono hao wapingaji wangekua mashene shibe?Ma sheikh njaa hao
Mamia ya masheikh wamelaani watu wote wanamkashfu Nabii Mkuu Mheshimiwa Dr. Geor Davie wa Ngurumo ya Upako. Mashehe hao wanasema Nabii mkuu ni nabii wa kweli, nabii anaewapenda watu wote na anaewajali watu wote.
Mashehe hao wameitaja JamiiForums kuwa watu wanamtungia uzushi Nabii kwa kumuandika mambo ya uongo wakati Nabii mkuu hana tatizo lolote.
Mashehe hao wanasema wanamsubiri kwa hamu na wanamkaribisha kwa mikono miwili Nabii mkuu kwa mkoa wa Dar es Salaam aje kutoa huduma ya uponyaji na ukombozi.
Wasikilize hapa.
Mwamposa hana mke?what i know for sure ni kwamba, atafungua ile briefcase yake ya mamilioni ya sadaka za mang'ombe, na atawapa pesa za kutosha kwa kumsifia. yeye na wao hawatofautiani kwasababu mungu wanayemwakilisha hapa duniani ni mmoja. ila ni tofauti na Mungu wa Ibrahim Isaka na Yakobo ambaye ndiye Mungu wa kweli.
kati ya embarrassment zilizowahi kutokea duniani kwa wakristo, ni uwepo wa manabii wa uongo kama huyu anayejiita mkuu na yule muuza mafuta asiye na mke. afadhali hata yule mbwia konyagi tunajua hana kanisa ana maombezi tu na hana kitu kichwani.
tuonyeshe mke wake. au ni wewe?Mwamposa hana mke?
Nafikiri hii imemaliza kwa wenye akili na kuzingatiaTatizo huku kwetu kila anae vaa, kofia na kanzu basi tayari anakuwa shekhe.
Hata kama elimu ya dini hana.
Hivi unaonaje mtu awe ameishia la saba halafu aitwe daktari, na asikilizwe katika kila atakalo lizungumza kuhusu utabibu!
Kisa amevaa koti jeupe.
Mamia ya masheikh wamelaani watu wote wanamkashfu Nabii Mkuu Mheshimiwa Dr. Geor Davie wa Ngurumo ya Upako. Mashehe hao wanasema Nabii mkuu ni nabii wa kweli, nabii anaewapenda watu wote na anaewajali watu wote.
Mashehe hao wameitaja JamiiForums kuwa watu wanamtungia uzushi Nabii kwa kumuandika mambo ya uongo wakati Nabii mkuu hana tatizo lolote.
Mashehe hao wanasema wanamsubiri kwa hamu na wanamkaribisha kwa mikono miwili Nabii mkuu kwa mkoa wa Dar es Salaam aje kutoa huduma ya uponyaji na ukombozi.
Wasikilize hapa.
Kumbe wanaingia humu ila wanashindwa kujibu mashambulizi...Mashehe hao wameitaja JamiiForums kuwa watu wanamtungia uzushi Nabii kwa kumuandika mambo ya uongo wakati Nabii mkuu hana tatizo lolote.
Shetani ana nguvu sana, ila akikuchoka utaichora sifuriMamia ya masheikh wamelaani watu wote wanamkashfu Nabii Mkuu Mheshimiwa Dr. Geor Davie wa Ngurumo ya Upako. Mashehe hao wanasema Nabii mkuu ni nabii wa kweli, nabii anaewapenda watu wote na anaewajali watu wote.
Mashehe hao wameitaja JamiiForums kuwa watu wanamtungia uzushi Nabii kwa kumuandika mambo ya uongo wakati Nabii mkuu hana tatizo lolote.
Mashehe hao wanasema wanamsubiri kwa hamu na wanamkaribisha kwa mikono miwili Nabii mkuu kwa mkoa wa Dar es Salaam aje kutoa huduma ya uponyaji na ukombozi.
Wasikilize hapa.