Dar: Mashehe washauri wanaomkashfu mitandaoni ‘Nabii Mkuu’, Dkt. Geor Davie wa Gurumo ya Upako, kumfata Arusha kwa nauli yao

Dar: Mashehe washauri wanaomkashfu mitandaoni ‘Nabii Mkuu’, Dkt. Geor Davie wa Gurumo ya Upako, kumfata Arusha kwa nauli yao

Hao ni waislam wale wahuni wahuni wa kwenye vijiwe vya kahawa wanaojua kusema Bismillah na inshaallah, kwanza katika maongezi ya kiislam ni haram kupiga makofi siyo mwenendo wa waislam kupiga makofi katika vikao vyao.

Na kwenye uislam nabii muhamad ndo alikua nabii wa mwisho dunian hatakuja nabii mwingne yoyote isipokua nabii issa pekee ndo atarud kwaajili ya kukamilisha dalili za kiama
correct
 
Mamia ya masheikh wamelaani watu wote wanamkashfu Nabii Mkuu Mheshimiwa Dr. Geor Davie wa Ngurumo ya Upako. Mashehe hao wanasema Nabii mkuu ni nabii wa kweli, nabii anaewapenda watu wote na anaewajali watu wote.

Mashehe hao wameitaja JamiiForums kuwa watu wanamtungia uzushi Nabii kwa kumuandika mambo ya uongo wakati Nabii mkuu hana tatizo lolote.

Mashehe hao wanasema wanamsubiri kwa hamu na wanamkaribisha kwa mikono miwili Nabii mkuu kwa mkoa wa Dar es Salaam aje kutoa huduma ya uponyaji na ukombozi.

Wasikilize hapa.

Hao mashehe wana matatizo ya kimsingi.
Watamteteaje mtu ambaye amethibitika kutenganisha ndoa ya mtu na mke wake?
Kama wakitaka wamslimishe ili awe mwislamu.
 
Mashehe uchwara walioamua kumtumikia Binadamu mwenzao badala ya kumtumikia Mungu.
Imani dhaifu na nina uhakika sio Waislamu hao, wala hawajui wanalolifanya zaidi ya kuhongwa

Njaa mbaya sana ila hii imezidi na hali ya sasa wala siwashangai wanafiki hao na moto ndio sehemu yao
 
Sheikh kasema wamemwona nabii anasaidia watu kwa maombezi na kuwasaidia watu moja kwa moja. Kilichowavutia masheikh ni hiyo ya pili ya kusaidia watu moja kwa moja wakiamini hawataenda na kurudi tupu.
 
Mamia ya masheikh wamelaani watu wote wanamkashfu Nabii Mkuu Mheshimiwa Dr. Geor Davie wa Ngurumo ya Upako. Mashehe hao wanasema Nabii mkuu ni nabii wa kweli, nabii anaewapenda watu wote na anaewajali watu wote.

Mashehe hao wameitaja JamiiForums kuwa watu wanamtungia uzushi Nabii kwa kumuandika mambo ya uongo wakati Nabii mkuu hana tatizo lolote.

Mashehe hao wanasema wanamsubiri kwa hamu na wanamkaribisha kwa mikono miwili Nabii mkuu kwa mkoa wa Dar es Salaam aje kutoa huduma ya uponyaji na ukombozi.

Wasikilize hapa.

Hii nchi hiii,tutaona Mengi!,kule watu Wana galagala kumpokea Raisi!,UDSM wanampa heshima kwamba kakuza uchumi,wakati kitaa hari ni tete!!sasa hii ndio komesha,mashekh wamsifu "nabii"wa kikristo!!??hata sijaelewa Kuna game gani hapa Propagandist wa ccm wanataka kucheza!!?
Hivi mnajua hata Idi amini alipewa PHD ya heshima?
 

Attachments

  • 20221203_141127.jpg
    20221203_141127.jpg
    58.4 KB · Views: 9
Mamia ya masheikh wamelaani watu wote wanamkashfu Nabii Mkuu Mheshimiwa Dr. Geor Davie wa Ngurumo ya Upako. Mashehe hao wanasema Nabii mkuu ni nabii wa kweli, nabii anaewapenda watu wote na anaewajali watu wote.

Mashehe hao wameitaja JamiiForums kuwa watu wanamtungia uzushi Nabii kwa kumuandika mambo ya uongo wakati Nabii mkuu hana tatizo lolote.

Mashehe hao wanasema wanamsubiri kwa hamu na wanamkaribisha kwa mikono miwili Nabii mkuu kwa mkoa wa Dar es Salaam aje kutoa huduma ya uponyaji na ukombozi.

Wasikilize hapa.

Nasikia nabii huyo wa Arusha hajambo mifukoni, imenikumbusha wale mashekhe, manabii na mitume waliokuwa kila siku wanaamkia kwa mwendazake ikulu kuvizia bahasha.
HILI NALO NI TANGAZO.
 
Mamia ya masheikh wamelaani watu wote wanamkashfu Nabii Mkuu Mheshimiwa Dr. Geor Davie wa Ngurumo ya Upako. Mashehe hao wanasema Nabii mkuu ni nabii wa kweli, nabii anaewapenda watu wote na anaewajali watu wote.

Mashehe hao wameitaja JamiiForums kuwa watu wanamtungia uzushi Nabii kwa kumuandika mambo ya uongo wakati Nabii mkuu hana tatizo lolote.

Mashehe hao wanasema wanamsubiri kwa hamu na wanamkaribisha kwa mikono miwili Nabii mkuu kwa mkoa wa Dar es Salaam aje kutoa huduma ya uponyaji na ukombozi.

Wasikilize hapa.

waumini waislamu tu ndio wanijibu!
Kwa mujibu wa quran, hadith, na miratul rasul nani ni hatma nabii??
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vijana muwe na adabu basi. Hao ni wazee wetu. Tanzania tunaheshimiana na tunaishi kiuungwana na kwa udugu wa kupigiwa mfano. Hebu acheni kuendekeza hoja za kibinafsi.

Hakuna shida kwa masheikh kumtetea mchungaji huo ni upendo wa next level. Msijisahaulishe namna wachungaji na makanisa yalisimama na watanzania wengine kutetea masheikh wa uamsho kuachiwa huru ingawa walikuwa na itikadi za kibinafsi. Tuwe na utu kwanza.
 
Huu ni ushahidi kuwa kampeni ya 'nabii' inaelekea anapopataka.

Nabii anataka awapiku wenzake wote, kina wa upako, Mwapesa, Kakobe na wengine.
 
Back
Top Bottom