Dar: Mashehe washauri wanaomkashfu mitandaoni ‘Nabii Mkuu’, Dkt. Geor Davie wa Gurumo ya Upako, kumfata Arusha kwa nauli yao

Mashehena wamchongo ukiwaangalia usoni utadhani wako serious kumbe ubwa bwa tu
 
Hata salam tu hawajui eti masheikh,nyie watu nyie,katika uislamu hakuna nabii baada ya muhamadi labda kama hao watu waliovaa kanzu na kofia wameamua kujitoa fuse in msukumas voice
 
Sijawahi kuona Wala kusikia mashekh wanapiga makofi
Sheikh punje anamwambia mwenzake, hebu nisaidie mwenzangu...

Subirini ustaad alhaj sheikh wa mkoa atakavyokuja kuwatema
 
Hamna masheikh humo, hao ni wachumia tumbo tu 😂 🤣
 
Jamaa yuko serious na Kazi zake 😂 😂 😂 😂
Very serious. Vijana mjiongeze, Chagua kuwa chawa (kusifia upuuzi wowote),kuanzisha chama cha siasa matumaini hewa mkizipiga pesa zote za nchi wewe na washkaji.)

Siasa familia zile zile zinarudishwa. Wapigaji. Hawana fikra, ari, utashi kubadilisha chochote.
 
wamesoma mpaka darasa la ngapi? Illiterates .....
 

Bakwata watasema hawa sio wakwao
 
Kwa hiyo mtu akivaa kanzu na kofia tu ni sheh hakuna sheh atakaekubali kufanya ujinga huo.
 
Ma sheikh njaa hao
 
Dada yako
Ooh Safi sana ..... Maana ninyi mmekuwa mashoga sana siku hizi. Tabia zake zote umebeba. Muangalie yeye tushamwambia asije pata mimba. Wewe kubeba mimba tunajua huwezi sema huwa mnaharibiwa sana hata kukaa tu mnakuwa hamuwezi.
 
Ooh Safi sana ..... Maana ninyi mmekuwa mashoga sana siku hizi. Tabia zake zote umebeba. Muangalie yeye tushamwambia asije pata mimba. Wewe kubeba mimba tunajua huwezi sema huwa mnaharibiwa sana hata kukaa tu mnakuwa hamuwezi.
Sisomi comment ndefu ya kipuuzi
 
Kwa hiyo mtu akivaa kanzu na kofia tu ni sheh hakuna sheh atakaekubali kufanya ujinga huo.
Ila wangeunga mkono hao wapingaji wangekua mashehe kamili au sio.

#MaendeleoHayanaChama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…