Endelea kushangaa ufe njaa, wenzako wanamtumikia boss tumboDuu!😂 Bongo hii...!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endelea kushangaa ufe njaa, wenzako wanamtumikia boss tumboDuu!😂 Bongo hii...!!
Kakwambia nani hayo?Zile nguvu za kua na Mke alizigawa huko kwenye mashariti ya Mafuta!!
Acha ubinafsi, kwani dini ni moja tu?Hao mashehe wana matatizo ya kimsingi.
Watamteteaje mtu ambaye amethibitika kutenganisha ndoa ya mtu na mke wake?
Kama wakitaka wamslimishe ili awe mwislamu.
Hao utawakuta na kadi Za CCM pamoja na vitambulisho vya TISSNa masheikh ugali ni wapi mkuu?
Waliolalamika ni mashekhe, wanambeba nabii ambaye anachukua wake za watu.Acha ubinafsi, kwani dini ni moja tu?
Hayo mawazo yako tu..bongo hakuna waislamu wa kweli wengi ni wanafiki..waislamu wa kweli na wanaofuata mafundisho ya kiislamu ni magaidi wale isis..bokoharam..alshababu..alkaida n.kNinavyojua mimi hao mashekhe kama walikuwa wanaswalia msikitini,kuanzia siku waliyotoa hilo tamko wataanza kuswalia nyumbani,sababu nafsi zao zitawasuta kuchanganyikana na waisilamu wa kweli
Bila kumuona Sheikh Kipozeo humo ndani wanabaki kuwa feki!
Mimi sina diniWaliolalamika ni mashekhe, wanambeba nabii ambaye anachukua wake za watu.
Sasa nikuulize wewe u dini ipi inayounga mkono uozo huo.
Kuna Mtu aliandika "inawezekana Tanzania ni channel ya vichekesho mbinguni".Mamia ya masheikh wamelaani watu wote wanamkashfu Nabii Mkuu Mheshimiwa Dr. Geor Davie wa Ngurumo ya Upako. Mashehe hao wanasema Nabii mkuu ni nabii wa kweli, nabii anaewapenda watu wote na anaewajali watu wote.
Mashehe hao wameitaja JamiiForums kuwa watu wanamtungia uzushi Nabii kwa kumuandika mambo ya uongo wakati Nabii mkuu hana tatizo lolote.
Mashehe hao wanasema wanamsubiri kwa hamu na wanamkaribisha kwa mikono miwili Nabii mkuu kwa mkoa wa Dar es Salaam aje kutoa huduma ya uponyaji na ukombozi.
Wasikilize hapa.
Au wampe kabisaNao wachore tatto ya nabii