Wakumbuke tu gas iliyopo Mtwara haiitaji passport kwenda nchi nyingine. Kijiografia tupo jirani na Mozambique. Inawezekana tunashare gas deposits wakati sisi tunajishauri wenzetu wanainyonya tu. Tukija kushtuka mzigo umekata tayari...Hii win loose ilikua ni fikra potofu, kuamini kuwa kila jambo lina upigaji, jambo ambalo halikuakisi uhalisia. Hata kama kulikua na viashiria vya upigaji, si yangefanyika mabadiliko ya watendaji lakini mradi ukaendelea? Hii pia inagusa na mradi wa NLG kule Lindi ambao umesuasua mradi mkubwa kabisa, lakini pia imehusisha miradi ya Gesi kule Mtwara Makampuni kuondoka.
Na unaweza kaa Dar hadi unahamishwa , hauja mgonga uwoya wala menina...Wazo zuri.
Unaweza kaa hii Dar hafu ata kivuko cha Kigamboni usiwahi kukitumia.
Huu mji mishe mishe zinatubana sana.
Meli ina urefu wa mita 199 ni kubwa????Mnaosema bandari ya Dar haiwezi himili meli kubwa uongo wenu umeanza kuonekana
Waongo hao walete ushahidi tupo humu tunateseka tuWalioleta meli wamesema huduma zimeboreka
Siku moja nitaenda kutalii bandarini, nione hizo meli zinavyofanana, kwa kweli sikuwahi kufikiri kama meli inaweza kubeba magari mengi kiasi hicho
Toka juzi mtandao wao wa kupata invoice haufunguki huwezi kulipa ili utoe mzigo. Utendaji ni mbovu sana wanahitaji mabadilikoUjinga tu tunajisifia kupokea meli kubwa lakini huduma bandarini mbovu kabisa, hao vijana wanaoshusha hayo magari utazania vichaa wanaendesha hovyo wanakwangua magari ya watu na hawaadhibiwi kabisa, kwakweli utendaji wa bandari yetu unashangaza sana, unakaa siku 3 unahitaji GOT WARD yakupalia Machine ya mteja siku 2 kila siku mbovu mara betri mara system basi ilimradi ucheweleshwaji tu na hakuna msamaha wa Storeg walio isababisha wao.
Halafu 65% ni ya transit sio ya hapa nyumbaniSemeni meli ya magari ya mitumba , yameletwa jalalani.
Ukubwa kwa maana ipiMnaosema bandari ya Dar haiwezi himili meli kubwa uongo wenu umeanza kuonekana
Kabisa mkuu nimeingiza Trucks tokea ijumaa kupakia Plant tokea jumatatu nikuzungushana tu machine mbovu wanakosa hata betri za ku boost machne kweli? aibu sana mtu akiwa nnje hawezi kuamini tukisemacho.Toka juzi mtandao wao wa kupata invoice haufunguki huwezi kulipa ili utoe mzigo. Utendaji ni mbovu sana wanahitaji mabadiliko
Ni 5km tu Mkuu [emoji13][emoji13][emoji13]Hapo kila gari kodi sio chini ya 5m zidisha mara 1000 tu uone ni bara bara ngapi zitajengwa na huo ushuru wa bandari
No mengi niya Transit hapoHapo 80% ya hayo magari yanabaki Dar es Salaam mengine machache ndiyo yanaenda mikoani na sehemu zingine [emoji119][emoji119]
Anafananisha meli na tango vs bamia..Ukubwa kwa maana ipi
Mkuu umeelewa walivyosema 65% ya magari yaliyoshushwa ni Transit?Hapo 80% ya hayo magari yanabaki Dar es Salaam mengine machache ndiyo yanaenda mikoani na sehemu zingine [emoji119][emoji119]
Sijaelewa mkuu naomba unielewesheMkuu umeelewa walivyosema 65% ya magari yaliyoshushwa ni Transit?