Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

unafikiri wao hawajui technicalities hizo? waa diverge maskudi tu kwa malengo maalumu
 
Ujanielewa kabisa namanisha saa zingine polisi wanafanyaga makusudi kutoa misleading information ili anayetafutwa ajue polisi wamepotea muulekeo kumbe ni mtego.
Wanapotoa misleading info maana yake hawahitaji msaada wa jamii, maana yake watekaji kwa sasa wamepewa mwamvuli wa kutotambulika na wasamalia wema ambao siku zote ndiyo wamekua chanzo cha mafanikio ya shughuli za kiuchunguzi hapa nchini
 
Uzi unaanza kuchoka,no more updates. Najiuliza kwa nini ilikuwa kosa kumwombea Lissu alivyoshambuliwa,lakini kwa Mo jana zilipigwa dua bila tatizo mbele ya makamera
 
umekula bangi ya wapi wewe kunijumuisha kwenye kundi ka wauwaji? fuatilia post zangu zote ili angalau ujue nipo upande upi.
Jambazi sugu wewe nakuja wewe na Ile tshet yako nyeupe Chunga




Swissme
 
Sijaelewa mkuu
Anachomaanisha ni kwamba, huo umuhimu unaouona wewe wa Mo kwa serikali; serikali hiyo hiyo ilishindwa kuuona kwa Yusuf Manj mfanyabiashara mkubwa aliyekuwa ananunua mbaazi!

Ni serikali hiyo hiyo unayodhani najali, ndiyo hiyo hiyo ilifanya mambo ya kumkomoa Manji kwa kumbambikia kesi za kijinga kabisa hadi wakamwandoa kwenye reli! Watu wanaamini kushuka vibaya kwa bei ya mbaazi kulichangiwa sana na Manji kuwekwa ndani kwa sababu ni kampuni yake ndiyo wanunuzi wakuu wa mbaazi!
 
Somebody told this is done kunyamaazisha issue ya mwendo kasi ambayo ilikiwa immkalia kooni bashite .dogo kaamua kutuhamisha venue kijanja, time will tell
Uwezekano mkubwa haya ni maigizo tu kwa nia ya kujipatia kiki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…