Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

ishu ya kutafuta billionare haijawahi kuwa rahisi kama unavyo fikiria, isitoshe watu wameacha vitu vyte vya kum trace kwa simu na gari lake mkuu
 
ishu ya kutafuta billionare haijawahi kuwa rahisi kama unavyo fikiria, isitoshe watu wameacha vitu vyte vya kum trace kwa simu na gari lake mkuu
Tz hakuna issue ilishakua nyepesi....hao wengine wakina Ben Sa nane..kwani wamepatikana au nae ni billionaire....?
 
Ma-conder alisema mo atapatikana hv karibuni.. Hata kwa roma alisema hivyo ikawa kweli. Mpeni muda
 
Usipokuwa makini unaweza kusema hivi "ni kama vile kuna mpango mkakati wa kutenganisha MATABAKA baina ya MATAJIRI, MASKINI, WATAWALA na WATAWALIWA.
NDIPO WALALA HAI NA WALALAHOI KILA MMOJA ATATAMBUA NAFASI YAKE
 
JAMAA KASEMA WALIOMTEKA NI WAZUNGU...... HAHAHAHAAHA.
IKO SIKU TUTAAMBIWA WALIOMTEKA KINGU NI WAGOGO!
 
wathungu weuthi wa MAMBISASA
Kwa hiyo ndani ya nchi tuna vikundi vya kigaidi vya kizungu ?
na wazuia mikutano a k a wapiga mabomu wameshindwa kuwabaini ?
Kama ni ushirikiano kwa nini hawakuwahi kumhoji ROMA juu ya waliomteka Roma na kama walimhoji mbona wazee wa media hawakuwahi kutujuza hatua za kuwasaka ?
MAGAIDI WANAOJIITA WATEULE.
 
Nimesoma soma articles za mauaji mbalimbali na katika kesi hata kama CCTV footage ipo askari kuileta kwa raia hua ni last resort ambapo hua wanaamua kufanya open investigation.

Kesi za abduction/ kidnapping hua zinafanyiwa sana mtindo huu kwakua abductors tupo nao mitaani. Mfano katika kesi ya Rostov Ripper Askari waliprofile wanahisije mhusika wao atakavyokua kutokana na matukio yalivyoonekana.
Same kwa kesi ya BTK, na watu walitoa tips, ingawa nyingi ni za hovyo il za msaada zinakuepo.

Kwa hizo articles nilizosoma zinasema kwamba, mtu aliyetekwa hua na window of opportunity la kumpata akiwa hai. Kadri muda unavyoenda dirisha linazidi kutanuka na inaanza kua ni kuhisi zaidi kuliko kuongozwa na facts. Mfano kwa sasa hivi askari wanaweza kua na theory hata mia za wapi watekaji watakua wameelekea, ila lingekua jeshi la kisasa ilibidi wajitahidi dirisha lisitanuke zaidi.

Pia ninachoamini ni kwamba kama waliomteka ni pros na wanachohitaji ni ransom watasema ila kama siyo pros wanaweza kureact savagely kwa namna serikali na nchi ilivyolipokea hili swala.

Nchi nyingi hua hazinegotiate na kidnappers, simply kwakua mkiwapa leo ransom kesho watakuja kumteka Samata, wakifanikiwa kila mtekaji atajua hili ni shamba la bibi. Sijui nchi yetu sera yake juu ya negotiation ikoje.

Ila askari wana eneo lao la kulaumiwa katika hili.
 
hayo ni mambo ya bussiness.
Mambo ya kuzungukana mbuyu.
Wale waliowateka akina roma ni mambo ya siasa.ujue utajiri na masuala ya biashara yana mambo mengi nyuma ya pazia.kama wanavyosema polisi watekaji ni wazungu.inawezekana ni kutofautiana katika mambo ya biashara.
 
Dah tunaletewa movie nyingine
.sijui itakuwa na part 2?
.sijui itachezwa kwa ustadi au itafanana na zile nyingine?
.sijui inataka kumpa kiki nani ?

Wakati utasema...stay tuned....!!!!

Nonsense unadhani watu wote ni wajinga? Nyie ndie wachezeshaji wa movies na huenda mkahusika ili kuchafua nchi
 
Mzungu wageni wawili ni kauli ziachazo ushahidi fikirishi,ccctv hawataki kuonyesha,maganda ya risasi je no ngapi Maana maganda tu wapewa Mossad au FBI hata yale ya lissu washapata muhusika kupitia no za maganda.Criminals yeyote lzm aache ushahidi wa kuanzia, ukipata maganda tu ushampata mwizi wako Kwa technology za kisasa
yah na hafanyi bahati kwa mbaya et ni mbinu flani ivi nzuri sana ktk kutuliza watu kwa namna ambayo hawatajua

izo kauli zao znaziirisha wazi kabisa wameusika
 
tuanze na kauli tata za bashiteView attachment Ukawa Washington posted a video to his timeline. (3).mp4View attachment Ukawa Washington posted a video to his timeline. (2).mp4
 

Attachments

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…