Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

Acha kuumiza bichwa lako jua kua mtengenezaji wa hii movie hajawahi kufanikiwa jambo
 
Moderator update taarifa iliyotolewa na mambosasa kuwa amepatikana
 
Cha nsingi apatikane hayo mambo yao mengine watajijua wao sie tumeshakubali kuishi kama tuishivyo mambo ya kushtuana na kuumizana mioyo hatutaki
 
Yeah ulisema nakumbuka
U see its my faithful nilijua hilo....mimi huwa sipendi kupanik katika matukio yoyote makubwa huwa najipa matumaini ila yakipita masaa 24 hapo lazima niwe na wasiwasi na ndiyo nitaanza kuumia moyo,nakumbuka msiba wa mshua naletewa taarifa sikuamini baada ya muda kama masaa matatu nasikia kwenye vyombo vya habari sijakaa sawa naona watu wanakuja shule naitwa ba mwalimu mkuu dah hapo muda huo nilianza kupaniki[emoji17]
 
Wajiandae kisaikoloji kwenye hili Colloseum.. Huwezi ukaweka mlinzi anaekimbia silaha sehemu wanayoenda wafanyabiasha Na watu wenye hela.
Hawataathirika sana maana DAB nae ameseme huwa anafanya mazoezi hapo pia [emoji23]
 
hajapatikana, lkn hisia zangu zinamhisi Bashite...anisamehe kama ninakosea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…