TOFU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2012
- 573
- 196
Mimi Yanga Dam bt i cn't support this kind of bullshit....Hapana ... Kuna mijamaa ya yanga imefurah kinoma
Trust me kuna watu watapika pilau leo
Watani wa jadi since kitambo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi Yanga Dam bt i cn't support this kind of bullshit....Hapana ... Kuna mijamaa ya yanga imefurah kinoma
Trust me kuna watu watapika pilau leo
Watani wa jadi since kitambo
Exactly mkuu...hajatamka kitu kama hicho mdomoni kwake!Watanzania hatuko makini kwenye vitu vingi sana. Nashangaa mpaka waandishi wa habari walifikia conclusion kama yako! Mimi nimeisikiliza mara moja na inaonyesha kabisa HAKUSEMA amepatikana.
Wapuuze. Wengi ya wachangiaji ni watu ambao hata kushika bunduki hawajawahi. Wakiwa kwenye hali kama hiyo wataishia kuachia haja ndogo mbele na nyuma.Ni ngumu ukitumia nguvu badala ya akili ujue ambush ni mbaya unaweweseka sasa ukileta ujeuri si wanakumaliza on spot au wakupe mateso.
Sijui hawa watekaji wamejiamini kumteka mtu maarufu kama yule tenda kwenye jiji lenye ulinzi mkali kama Dar.
Jamani tule hata nyasi ili nunue CCTV camera mji mzima mpaka kule Majohe na Msongola kwenye barabara za mavumbi.
Unampiga ushirogel au urabitobi gelUwoga tu ila kama amekaa kizembe unauwezo ukawajeuza wao kuwa mateka....mzee baba yani anajikunja vizuri unampa teke moja chalii unainua gun unapambana na mwenye gun
Watanzania hatuko makini kwenye vitu vingi sana. Nashangaa mpaka waandishi wa habari walifikia conclusion kama yako! Mimi nimeisikiliza mara moja na inaonyesha kabisa HAKUSEMA amepatikana.
Weee omba yasikukute yaan[emoji22]Usiombe ukalishwe kati
Ni kweli kabisa kushtukizwa jambo akili hustaki flani aisee maana hukutegemea wala kujiandaa. Sasa Mo ukute walishamfatilia mda mrefu na walimulia timing hapo asingeweza kujitetea.Wapuuze. Wengi ya wachangiaji ni watu ambao hata kushika bunduki hawajawahi. Wakiwa kwenye hali kama hiyo wataishia kuachia haja ndogo mbele na nyuma.
Zipo clip mbili ... Hivi unaelewaHakusema kapatikana...amesema yy kama kiongozi mwenye dhamana ya kuongoza hili jiji atahakikisha Mo anapatikana na waliomteka wanafikishwa mahakamani!...
Hebu ngoja nilete hicho kipande
Tuanze na wewe kwanini wafanyie uzi wangu. Mimi nimecopy na kupaste na kutoa tahadhari, hivi unajua madhara ya jinsi askari wetu watakapoanza huo msako. Itapelekea tension kubwa sana,Mods fanyeni kazi yenu upesi
Hakuna jipya hapo ni kawaida sana.. Mimi nimeanza primary 1999 nimemaliza 2005.. Nikiwa na miaka 11 na miezi 9Mtu azaliwe 1975, shule ya msingi amalize 1986, yaani alimaliza elimu ya msingi akiwa na miaka 11? Hiyo sio elimu ya Tanzania na haiwezi kuwa elimu ya msingi ya miaka 7.
Vv
Kinachoniacha hoi ni ''waandishi'' wa habari wa Bongo. Hivi hawakuchukua hata nafasi kumdadisi amepatikana wapi etc!!! Mimi simpendi Makonda kwani ni komiko fulani hivi lakini ukisikiliza pale hakusema hivyoExactly mkuu...hajatamka kitu kama hicho mdomoni kwake!
Ikiwezekana msako wa nyumba kwa nyumba ufanyike. Vyombo vyote vya usalama viingie kazini, wafuatilie kila kitu. Wao wanafahamu zaidi. Ukweli hapa tutayumba sana kwa kiasi chake kwa madhara makubwa kwa mfanyabiashara huyu.Post zinazoandikwa kuhusu kutekwa kwa Dewji zinamnukuu Mambosasa akisema msako mkali utafanywa kwa raia wote wakigeni nchini! Binafsi sijaielewa maana yake pia kama anao uwezo huo hata robo tu! Tuna raia wakigeni toka nchi zote zinazoizunguka Tanzania, pia wamo wanaotoka nchi za mbali sasa yeye ambaye ni kamanda wa Dar es Salaam anamamlaka gani ya kuamuru kikosi chake kutimiza hiyo amri yake nchi nzima?
Haahaalhahaha imagination is a fiction game, nilikua nawaza mkuu lakini nikiwa mimi ndiyo victim huo ujanja unafyataAhaah we jamaa ... Ahahaha
Sio rahs kihivyo provided una bullet proof ... Thats impossible
Ni mafunzo ya kwanza tuliyopewa farm.... Nikakimbiaa ... Mmh sio poa ...
Wakanrudsha ... Nkakimbia tena ...
Mmh labda ntarud tena ...