Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

Kama ni hivi basi usalama wa wale wengine ITV na Azam pia uko mashakani.
 
Ni mapema sana kwa vyombo vya usalama ku-conclude kuwa walikuwa wazungu. Watu wanaweza vaa masks au ngozi za kutengeneza wakaonekana wazungu.

Mimi naota tu je kule hazina kuna pesa ya kutosha kulipa salary za watumishi wa umma mwezi huu?

Tulipe kodi tafadhali kuiwezesha serikali kufanya shughuli zake
 
Mara paaap movie inaanza[emoji22][emoji22] starling anafia kwenye maua, [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] so sad
 
Mijitu ya matukio mmesha ingiza siasa, massive pathetic creatures walahi
 
Back
Top Bottom