last king of uscoch
JF-Expert Member
- Mar 21, 2015
- 2,728
- 3,980
Hao wanakuwa na visu au na SMGUkimdhibiti mmoja mwingine anatoka nduki jaribu siku moja ukikutana na vibaka kamata mmoja uonesha mfano mpe ngumi nzito the rest watatoka nduki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao wanakuwa na visu au na SMGUkimdhibiti mmoja mwingine anatoka nduki jaribu siku moja ukikutana na vibaka kamata mmoja uonesha mfano mpe ngumi nzito the rest watatoka nduki
KiveepeDuh...hebu tafuta avatar nyingine basi
Simtetei mkuu..nitamteteaje huyu jamaa??Mtetee tu,lakini technology iko very powerful,kuna niliyoisikia amesema "amepatikana na watuhumiwa wamekamatwa"
Labda kama ni vipande vilivyoungwa ungwa,lakini nimeiona kwa macho yangu!!
Mengi huwa haendi gymKama ni hivi basi usalama wa wale wengine ITV na Azam pia uko mashakani.
Katika habari kama hizi utulivu ni jambo kuu sana...
Umetumia concrete thinking badala ya abstract thinking.Mtetee tu,lakini technology iko very powerful,kuna niliyoisikia amesema "amepatikana na watuhumiwa wamekamatwa"
Labda kama ni vipande vilivyoungwa ungwa,lakini nimeiona kwa macho yangu!!
Akumbuke maelezo yanasema alipelekwa shule kusoma akiwa na miaka mi5Hakuna jipya hapo ni kawaida sana.. Mimi nimeanza primary 1999 nimemaliza 2005.. Nikiwa na miaka 11 na miezi 9
Nkiona hiyo avatar yako akili inahama kutoka kwenye mada muhimuKiveepe