Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

Duh!Watu wasioujulikana hao bila shaka!

Hii nchi sasa!!

Walitekwa na kupotea watu wa kawaida, tukaona ni mambo madogo.Leo wanatekwa matajjri na watu maarufu labda sasa ndio tutashituka.

Nakumbuka pia yaliompata Lissu na mfanyabiashara wa Tarime bwana Zakaria.

Wacha tusubiri tuone nini kinaendelea tutapata picha kamili.

Kwa sasa wanaweza kuwa wanapima upepo.Pressure ikiwa kubwa,wanaweza kumwachia ikiwa mpaka sasa bado yuko salama.

Hii update kuwa katekwa na wazungu,inanipa maswali mengi sana na mojawapo ni wazungu gani hao wa kumteka mtu tajiri kama huyo tena wakiwa katika nchi ya watu?

Wanajiamini nini?
Hiyo ni kazi ya mikono ya Magu, ndo style yake ya kuongoza
 
Kwa nini tusiamini maelezo ya polisi na tuamini maelezo ya dereva wa Uba?

Polisi wana resources kuweza kufuatilia timeline ya matukio kwa kuweza kuhoji watu wengi zaidi juu ya tukio. Dereva wa Uba kaona na kusimulia aliyoona. Hakuona yote na isitoshe muda mwingi alikuwa kajiinamia kwa hofu.
Kwani ni mara ngapi polisi hawa hawa wamekuwa wakipindisha ukweli wa mambo?
 
Nakumbuka tulipata UHURU tarehe 9 December1961.Mjeda mmoja kwa jina NYERENDA akaweka mwenge kileleni mwa mlima Kilimanjaro umulike nchi nzima
Ilikuwa raha saana siku hiyo.
 
Duh...yani ni juzi tu nimeota huyu jamaa katekwa
Sasa sijui wajuzi wa mambo hii ina maana gani?
 
Kwa jinsi alivyopatikana fasta...

Naji-convince itakua ishu ilisukwa na Bash.ite kujenga kiki watu wasikomalie sana mwendokasi!

Hao suspects zijui kama watatuonesha....!

Sanaa mtindo mmoja!

Only in awamu ya 5 ndio utapata habari hizi na nyingine za kijinga kama kuvamia vituo vya TV!
kama walivotuonyesha yule jambazi hendisammboi nahawa wasiojulikana pia watuonyeshe

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Hakuna silaha naiogipa kama silaha za jadi mapanga aiseeehhh kifo chake ni cha umbwa ,vibaka ni wa kuogopwa kuliko hawa koz hawa watekaji wanakuja na misaion moja kukubeka ukiwa mzima ukienda uko mkishandwana hapo ndiyo msala ...ila vibaka aiseeh
Pole sana Mkuu walishakuzukia?
mi nakumbuka Kipindi niko Chuo walichukua simu, viatu plus begi wakatokomea
 
Back
Top Bottom