Zile tunazoona ktk movies za ki - Nigeria zinaweza anza kuwa practiced taratibu hapa....
Watu hali ngumu ya kifedha na kimaisha kwa ujumla, wanatafuta "shortcuts" za kujipatia fedha....
Wanawavizia wenye mkwanja watu sampuli ya hawa kina Dewji.....
Wanakuteka na kukuhifadhi sehemu....
Wanalazimisha mabadilishano ya uhai wako na ukwasi wenu.....
Most likely, hii ina sura ya namna hii.....
Hata hivyo wanaweza kufanikiwa kupata watakacho kama tu wamefunzwa mikakati ya kujipatia fedha kwa njia hiyo....
Vinginevyo, watanaswa tu na wasipate hata senti!!