cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Mimi nilimskia kasema kapatikana na wahusika wamekamatwa kuna clip mbili au hyo clip ilieditiwaHakusema kapatikana...amesema yy kama kiongozi mwenye dhamana ya kuongoza hili jiji atahakikisha Mo anapatikana na waliomteka wanafikishwa mahakamani!...
Hebu ngoja nilete hicho kipande