Nchemba naye siku yake ipo, kabla hajafa atayashuhudia magumu na mazito dhidi yake.Ni maombi yangu MO apatikane akiwa mzima na salama, kwa point yako hapo juu, ni kweli UNAFIKI wa Viongozi wetu na Watanzania kwa ujumla umefanya hivi vitendo viwe endelevu na vionekane ni vya kawaida, leo hii Mwigulu Nchemba anapiga kelele kuhusu hili, ingawa alikuwa waziri wa mambo ya ndani wakati matukio haya yameanza na hakuna hatua aliwahi kuchukua kama kiongozi mwenye dhamana.
Hili lisipite kimya na kusahaulika kama mengine, Mungu ibariki Tanzania.
Huyo mtu ni zero brain,ukiendeleze ligi naye utakuwa unajipotezea muda bure!Kulumbana na mgojnwa wa akili ni zaidi ya kujidhalilisha.
[emoji53]
Haaahaaa usipime[emoji15]Hatari hiyo kitu...Manati ya mzungu.
CCTV kama zile za dodoma Area DNdio Jiulize ziliwekwa za nini na MO katekwa na "WAZUNGU" ndani kabisa si umeona gari yake ipo ndani na hao wazungu wamepita getini kabisa na Kiusalama CCTV huwa zinaelekezwa kwenye geti ili kuona watu wanaoingia na kutoka ila hili la "WAZUNGU" hawajaliona.
Nilikuwa nimesahau tu mkuu. Asante kwa kunikumbusha.Huyo mtu ni zero brain,ukiendeleze ligi naye utakuwa unajipotezea muda bure!
Serikali Kimya, ni kweli hata wahalifu wa kawaida lkabisa waweza kutumia mwanya huu, serikali haipendwi hii inalazimisha watu waikubali kwa mtutuwatu wamepotea serikali kimya..hata waarifu wanatake advantage.. Kwamba Tanzania mtu anaweza kupotea tuu...
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Wasiojulikana hawawezi kumkamata mtu wao, labda kama kakataa kuwafadhil na kufadhili ile biashara ya manunuzi.
Yaweza kumkuta kama yale ya Mtu wao Zacharia wa Tarime.
Utashangaa na hizo za Collossium nazo zikatolewa, Kucheza Movie waachieni akina ShwazniggerCCTV kama zile za dodoma Area D
Ukienda very deep unaweza ukajikuta unavumbua mengi zaidiNdio Jiulize ziliwekwa za nini na MO katekwa na "WAZUNGU" ndani kabisa si umeona gari yake ipo ndani na hao wazungu wamepita getini kabisa na Kiusalama CCTV huwa zinaelekezwa kwenye geti ili kuona watu wanaoingia na kutoka ila hili la "WAZUNGU" hawajaliona.
Afadhali umemsaidia huyo sokwe mtu ili aache ujinga wake.Huyo mtu ni zero brain,ukiendeleze ligi naye utakuwa unajipotezea muda bure!
Ohhh dah aisehhh sipati picha yupo kwenye hali ganiBadoooooooo[emoji22] [emoji22] [emoji22]
[emoji22] [emoji22] [emoji22] usiombe yakukuteOhhh dah aisehhh sipati picha yupo kwenye hali gani
Ni hatari kwa kweliInategemea wewe unawakilisha interest za nani. Jamal Kashogi alikuwa anawakilisha interest za media za kimataifa WPost, nk. Afadhali kuchezea sharubu za simba kuliko kucheza na interest za marekani.
Nadhani mataifa mengi ya uarabuni kutokana na machafuko kutekwa na kupotezwa ni mambo yanayoendelea kila siku na hata hatuwezi kupata taarifa zake. Tatizo linakuja pale ambapo kutatokea mtu kachezea interest za wakubwa ndio utawasikia hata akina Trump na Pence wakitaka hatua zichukuliwe.
Siombi hii kitu hata kidogo inikute mtu wangu, sema natamani ningekua nabii niwatajie watanzania huyu mtu yupo wapi,[emoji22] [emoji22] [emoji22] usiombe yakukute
haa haa huenda kajiteka kama ben saa nane
Amen mkuu...inauma balaaSiombi hii kitu hata kidogo inikute mtu wangu, sema natamani ningekua nabii niwatajie watanzania huyu mtu yupo wapi,
Kiufupi mie simuelewagi huyu jamaa anajiita mgonjwa mtambuka!Huyo mtu ni zero brain,ukiendeleze ligi naye utakuwa unajipotezea muda bure!
U r welcomeNilikuwa nimesahau tu mkuu. Asante kwa kunikumbusha.
Wewe ndio tatizo,jion njema!Afadhali umemsaidia huyo sokwe mtu ili aache ujinga wake.