Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

Ni maombi yangu MO apatikane akiwa mzima na salama, kwa point yako hapo juu, ni kweli UNAFIKI wa Viongozi wetu na Watanzania kwa ujumla umefanya hivi vitendo viwe endelevu na vionekane ni vya kawaida, leo hii Mwigulu Nchemba anapiga kelele kuhusu hili, ingawa alikuwa waziri wa mambo ya ndani wakati matukio haya yameanza na hakuna hatua aliwahi kuchukua kama kiongozi mwenye dhamana.
Hili lisipite kimya na kusahaulika kama mengine, Mungu ibariki Tanzania.
Nchemba naye siku yake ipo, kabla hajafa atayashuhudia magumu na mazito dhidi yake.
 
Ndio Jiulize ziliwekwa za nini na MO katekwa na "WAZUNGU" ndani kabisa si umeona gari yake ipo ndani na hao wazungu wamepita getini kabisa na Kiusalama CCTV huwa zinaelekezwa kwenye geti ili kuona watu wanaoingia na kutoka ila hili la "WAZUNGU" hawajaliona.
CCTV kama zile za dodoma Area D
 
watu wamepotea serikali kimya..hata waarifu wanatake advantage.. Kwamba Tanzania mtu anaweza kupotea tuu...
Serikali Kimya, ni kweli hata wahalifu wa kawaida lkabisa waweza kutumia mwanya huu, serikali haipendwi hii inalazimisha watu waikubali kwa mtutu
 
Tanzania ni hatari sana kwa wawekezaji kama wanatekana wenyewe kwa wenyewe je kwa wageni itakuwaje? Very Shameful Indeed.
 
Wasiojulikana hawawezi kumkamata mtu wao, labda kama kakataa kuwafadhil na kufadhili ile biashara ya manunuzi.

Yaweza kumkuta kama yale ya Mtu wao Zacharia wa Tarime.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Ndio Jiulize ziliwekwa za nini na MO katekwa na "WAZUNGU" ndani kabisa si umeona gari yake ipo ndani na hao wazungu wamepita getini kabisa na Kiusalama CCTV huwa zinaelekezwa kwenye geti ili kuona watu wanaoingia na kutoka ila hili la "WAZUNGU" hawajaliona.
Ukienda very deep unaweza ukajikuta unavumbua mengi zaidi
Huende system za cctv zilhujumiwa a day before
Hili ni tukio la kupangwa na sio la kukurupuka
Itakuwa alikuwa anafuatiliwa kwa mda mrefu sana
Na jamaa watakuwa wanajua kabisa kuwa Dar itapinduliwa juu chini siku wakifanya yao hivyo watakuwa wamejipanga kisawasawa
Polisi waanze na wahusika wa eneo husika nahisi watapata walau pa kuanzia
Kusiwepo na malipo ya aina yeyote kutoka kwenye akaunti zake kuanzia leo na ikiwezekana wafuatilie kwa umakini zaidi
Ila wao kama Jeshi la polisi watakuwa wako very deep na pengine hawataki kuongelea mipango yao kuhofia kuvuja na kuwafikia watuhumiwa
Tubaki tu kumuomba MUNGU wafanikiwe kumpata akiwa salama
 
Inategemea wewe unawakilisha interest za nani. Jamal Kashogi alikuwa anawakilisha interest za media za kimataifa WPost, nk. Afadhali kuchezea sharubu za simba kuliko kucheza na interest za marekani.
Nadhani mataifa mengi ya uarabuni kutokana na machafuko kutekwa na kupotezwa ni mambo yanayoendelea kila siku na hata hatuwezi kupata taarifa zake. Tatizo linakuja pale ambapo kutatokea mtu kachezea interest za wakubwa ndio utawasikia hata akina Trump na Pence wakitaka hatua zichukuliwe.
Ni hatari kwa kweli
Yaani jamaa kamalizwa ndani ya ubalozi
Najua tuko nje ya mada
Lakini USA hawawezi kumfanya kitu Saudia kwa hela zake.

Well namuombea Mungu Mo apatikane
 
Huyo mtu ni zero brain,ukiendeleze ligi naye utakuwa unajipotezea muda bure!
Kiufupi mie simuelewagi huyu jamaa anajiita mgonjwa mtambuka!
Kuna wanazi wengi sana wa vyama na nawaelewa na kuheshimu misimamo yao ila huyu mmmmmh
 
Back
Top Bottom