Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

Dah So sad! ni vyema juhudi za kumtafuta zisijali giza(ziendelee usiku kucha) ili watekaji wake waishii kwa wasiwasi.
 
Hahaaaaaa

Yan hawa jamaa wanatuona mazwazwa sana, Wameona usemi wa WASIOJULIKANA umewachosha watu, Asaiv wamehamia kwa WAZUNGU WAWILI, baada ya hapo watahamia kwa MALAIKA then MISUKULE
 
Acha kupurukuka kijana mdogo, wachie wanaume wanaume wafanye kazi yao kwa uweledi, ndio Maana jamaa lenu likawita boys walahi!
Angalia news kuna watu wawili maarufu kuliko mo wametekwe, sasa sijui SAUDIA, Turky, China nako pia ni kwa JPM?
Jiongeze kidogo walahi
 
anyway....ni tukio kubwa sana......but tusisahau kuna watoto wanatekwa kila kukicha........ila anaweza kuwa kafichwa hapahapa mjini.....ila vyombo vyetu bana......story nyingiiii.......wajitahidi kuhakikisha kapatikana ............
 
[emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] haaahaaa

Wanasemaga ni watanzania bana


Wakiwahitaji watasema ni Watanzania, lkn moyoni ni Wahindi 100%, rafiki zao ni Wahindi, wazazi wao ni wahindi, wake/girlfriends zao ni Wahindi, chakula, lugha na hata cocobeach ukienda wana sehemu yao Wahindi watupu!
 
Wakiwahitaji watasema ni Watanzania, lkn moyoni ni Wahindi 100%, rafiki zao ni Wahindi, wazazi wao ni wahindi, wake/girlfriends zao ni Wahindi, chakula, lugha na hata cocobeach ukienda wana sehemu yao Wahindi watupu!
Kweli mkuu...na ni wabaguzi kinoma

Hapa unasema ukweli mtupu[emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
Kuna haja sasa ya watu wazito kuvaa chip mwilini inayoonyesha cordinates yupo wapi na ikiwezekana ipige picha na kuzituma. Hii inasaisia pa kuanzia uchunguzi.
 
Watu wenyewe wanatajwa walikuwa wamevalia kininja, Mambosasa anasema ni wazungu, hapo inamanisha watekaji ni weupe kwa sura plus hizo maski walizovalia inanipa picha kuamini hawa ni Al-shabaab.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…