Well said budy! Many among us still have inferiority complex.Kwa nini Mo Dewji ndio waje FBI, yeye ana nini, nafsi tano?
Binadamu wengine wakitekwa, wakipigwa risasi bungeni, mbona nchi haisimami?
Hata FBI hawatakubali, unless kuwe na suspected political motives. FBI watawacheka mkiwaita kumtafuta raia mmoja katekwa!
Alitekwa tajiri Mwanza akakutwa kwenye gunia, mbona airport hazikufungwa, kwa vile Mkurya mwenzetu? Mpaka awe tajiri wa kihindi?
Ridiculous self-loathing Africans.
Hahaha kuwa serious basi. Eti Mo ana nini?! Mo ana pesa wewe una shilingi. Hata kodi mnayolipa serikalini kakupiga gap la maana tu. Ukweli mchungu lakini ndo dunia ilivyo We must accept it maana hakuna namna.Kwa nini Mo Dewji ndio waje FBI, yeye ana nini, nafsi tano?
Mbona nchi haisimami watu wengine wakitekwa, wakipigwa risasi bungeni, tena viongozi wa umma?
Hata FBI hawatakubali, unless kuwe na suspected political motives. FBI watawacheka mkiwaita kumtafuta raia mmoja katekwa!
Last year alitekwa tajiri Mwanza akakutwa kwenye gunia kafa, mbona airport hazikufungwa, kwa vile Mkurya mwenzetu? Mpaka awe tajiri wa kihindi?
Ridiculous self-loathing Africans.
Sijaelewa iyo statement ya KwanzaWrite your reply...lakini si kapatikana tayari.. au bado ni tetesi tu
Well said!jeshi la polisi linahitaji maombi haki kazi nyingine ni kubwa kuliko uwezo wao. Au lingefanyika Mwanza angekuta amepatikana? ila hili jiji lina mbwembwe hatari namuombea MO apatikane ila lakini binadamu hatuko fair kabisa yaani wengine sio kutekwa walifanyiwa jaribio la kuuwawa yaani hata ufuatiliaji kama huu sikuona hizi nafsi zilizojaa unaafki hivi sijui kama tutamwona Mungu kwa staili hii. Mungu tusamehe na tusaidie
Double StandardsHahaha kuwa serious basi. Eti Mo ana nini?! Mo ana pesa wewe una shilingi. Hata kodi mnayolipa serikalini kakupiga gap la maana tu. Ukweli mchungu lakini ndo dunia ilivyo We must accept it maana hakuna namna.
YupRais wa Interpol Serikali ya China imethibitisha kumshikilia.
Wakifanya kazi mnaeasema wasipofanya mnaeasema! What a mess up characters nyie mijitu walahiPolice wanashinda Instagram kuwakamata wanaocheza wimbo wa maua sama iokote shenzy kabisa
Mkuu double standard hazitakujs kuisha hapa duniani ila as long as uko Afrika hesabu Multiple standards kabisa!!Double Standards
Umesikia wapi kapatikana?Write your reply...lakini si kapatikana tayari.. au bado ni tetesi tu
Inawezekana kabisa kusiwe na Double Standards ila ndo hivyo maamuzi (Choice).Mkuu double standard hazitakujs kuisha hapa duniani ila as long as uko Afrika hesabu Multiple standards kabisa!!
Lengo la kupakazia wazungu ni kuzuia wasiingilie masuala haya coz nao wanatuhumiwa.Mbona mashuhuda kila mmoja anasema lake, Mara dereva wa Uber aseme watekaji walikuwa wamefunika nyuso zao hakusema walikuwa in wazungu, mara wengine waseme ni wazungu - tuamini lipi tuache lipi!
Ninavyo wafahamu wazungu hawana hulka za kuingia nchi za watu na kuteka nyara RAIA mchana kweupe, hata kama wanamdai au wana issues naye Mara nyingi watakwenda kwenda vyombo vya Dola au Mahakama kudai haki zao na sikuteka watu - my opinion.