Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

Inamaana alikua hana ulinzi hadi atekwe kiurahisi namna hiyo?
 
Mbona unaongea pumba ktk jambo serious
 
Wasiojulikana waliokwenda kumpiga Risasi Tundu lisu kule Dodoma sasa wanajulikana lakini hakuna aliyewachukulia hatua, mbinu pekee iliyosalia ni kuwasomea Alibadiri kubwa tena ikasomewe mbali huko Somalia kwa siri kubwa ili kuepuka kutibuliwa na yule shehe wa mkoa wa Dsm rafiki yake Le mutuz na Bashite.
 
Hapa kuna fukuto tena la kivita kama mieleka ngoja tukae pembeni tuombe na kusali kuna jambo kubwa la siri kama zilivyo siri nyingine
 
Watu wanapoamua kukudaka haijalishi uko wapi watakupata kumbuka mtu wa level ya MO kumrukia sio issue ndogo unaweza kuunga dot watu hao wanatoa wapi ujasiri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…