Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inasemaje?Clip ya maelezo ya police yamenishtua na kunishangaza
Mara hii Mambosasa kishajua eti ni wazungu ! aiseeee !!!Duh!Watu wasioujulikana hao bila shaka!
Hii nchi sasa!!
Walitekwa na kupotea watu wa kawaida, tukaona ni mambo madogo.Leo wanatekwa matajjri na watu maarufu labda sasa ndio tutashituka.
Nakumbuka pia yaliompata Lissu.
Wacha tusubiri tuone nini kinaendelea tutapata picha kamili.
Kwa sasa wanaweza kuwa wanapima upepo.Pressure ikiwa kubwa,wanaweza kumwachia ikiwa mpaka sasa bado yuko salama.
Wawe wanamfuata kwakeMo ni mtu anaependa kuchanganyika na watu, sio tajiri wakujitenga na jamii inayomzunguka.
Huko Tarime walimwendea na siraha za moto lakini Zakaria aliwataimu akawatwanga Risasi za kutosha ni wakati wafanyabiashara wakubwa waishi kininja sasa.Nimejiuliza swali pia, hakuwa na mguu wa kuku pia afyatulie mbali maana njema zimeibuka na silaha za moto
Hiyo gari lenye plate no ya MO ndo gari lake si limepaki hapo hapo hoteliniHebu fanya maarifa mdau tuzipate
Angalia post #234 Rafiki hapo juuInasemaje?
So ni kitu cha kawaida tu these days?Darmian Rais wa Interpol hajulikani alipo nae katekwa
Madaraka yakulewa!Unamteka Bilionea na mfanya biashara maarufu Afrika. Huoni madhara yake kwa uwekezaji na amani nchini. Lazima wewe ni kichaa.
Nadhani una umri mdogo wewe. Ukiongezeka umri baada ya kuishi miaka kadhaa, utajua maana ya kuishi na watu. Kama utasema kila kitu unacho au unaweza kukifanya nyumbani kwako, utaiona dunia si mahala pazuri kuishi. Hivi watu wanakwenda kuangalia mipira kwenye mikusanyiko ya watu, nyumbani kwao hawana TV? Huwezi kuishi pekee yako kama uko kisiwani hata kama una pesa nyingi.Bilionea unashindwa hata kuweka gym nyumbani kwako unaanza kukurupuka saa 11 kwenda kunukishana majasho na wenzio?!
Huwezi kuwa na mapesa yako mengi namna hiyo halafu ukose hata mlinzi mmoja mwenye silaha...Watanzania tuache kuishi kwa mazoea jamani
Wana Simba someni Alibadiri haraka mda huu huu msichelewe ili wasiojulikana waumbuke harakaKwahyo yawezekana mdeni kamteka... Sasa akimteka ndio atakua kalipa deni? Aturudishie Mo wetu simba ishachanua sababu yake
Ohooo kivipi mkuu tena au kuna dalili za wao?Clip ya maelezo ya police yamenishtua na kunishangaza