Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakua ni MZUNGU KICHAANimemsikiliza Kamanda Mambosasa anadai kuwa ametekwa na Wageni kwa vile ni wazungu!! ........... Hivi kwani hakuna Wazungu watanzania!!?
Anyway, kama walikuwa wameficha usoni hivi kweli kwa tukio la haraka kama utekaji utawatofautishaje wazungu, wahindi au waarabu!!
Ongeza na yule mmriki wa super sami alie okotwe kwenye kirobaAlianza zakaria hatukuambiwa kwanini ilitokea vile.haya mo tena julizeni watekaji wanataka nini na nani.wanateka ili iweje
Usitunge uongo wako hapa. Tuambieni nyie watu wa mabaka mabaka kwanini mmemteka Mo?Wamesha rushana walahi
Kaaazi kweli kweli walahi
Utaweza kumlipa wewe,kama tu yule a boy from tandale alishindwa kumlipa uje wewe kuwezaHivi Mwarabu fighter kashapata kazi? nipatieni namba yake.
sijui kama yupo mwenye ukweliThis is too much bana...hebu mtu mmoja aongee basi tujue moja daah!
Ushindwe na ulegee na taifa stars yakoMbwana Samata ametua salama Cabo Varda?
Inasaidia nini mkuu? Sana sana watamfyekelea mbali tuuInasaidia kuwa na mlinzi kiasi flani kuliko kutokuwa naye kabisa...
CCM wana kikao mda huu wanamlaumu le mutuz kwa kuwatengenezea Sinema ya kishamba ambayo imefeli vibaya.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mission failed
Sielewi ujueHABARI MPYA: RC wa Dar Paul Makonda amekanusha taarifa za kupatikana mfanyabiashara Mohamed Dewji aliyetekwa leo asubuhi-MCL
Hakuna kusafiri leo[emoji15] [emoji15] ...what the heck?According to Mr. Mambosasa, three people have been arrested in connection to the incident. The police said all entry points around airports and other exit points have been closed.
Nilidhani kuimarisha ulinzi ingetosha!
Kwahiyo taratibu za kusafiri Leo kutoka Dar ni hamna au?
Can't understand this!
Leo nimeamini Tigo yangu haina guarantee ya kuwa sealed forever hata niilinde vipi
mkuu hayo ni machache kati ya mengi yanayozid kuja kaa tayariAccording to Mr. Mambosasa, three people have been arrested in connection to the incident. The police said all entry points around airports and other exit points have been closed.
Nilidhani kuimarisha ulinzi ingetosha!
Kwahiyo taratibu za kusafiri Leo kutoka Dar ni hamna au?
Can't understand this!