Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

Wamkabidhi hiyo kazi kamanda Moroto ili awalete wahusika kwenye media " aroo kwa nini umemteka Mo-Dewji, wewe mzungu kwa nini umetoka ulaya kuja kuteka watu"
aroo ona ulivyo mrefu na kitambi wewe mzungu,kwanini usiendelee kutuibia madini kama mlivyozoea? arooo wewe mzungu #KIKI_KWA_PIKIPIKI
 
Duh!Watu wasioujulikana hao bila shaka!

Hii nchi sasa!!

Walitekwa na kupotea watu wa kawaida, tukaona ni mambo madogo.Leo wanatekwa matajjri na watu maarufu labda sasa ndio tutashituka.

Nakumbuka pia yaliompata Lissu na mfanyabiashara wa Tarime bwana Zakaria.

Wacha tusubiri tuone nini kinaendelea tutapata picha kamili.

Kwa sasa wanaweza kuwa wanapima upepo.Pressure ikiwa kubwa,wanaweza kumwachia ikiwa mpaka sasa bado yuko salama.

Hii update kuwa katekwa na wazungu,inanipa maswali mengi sana na mojawapo ni wazungu gani hao wa kumteka mtu tajiri kama huyo tena wakiwa katika nchi ya watu?

Wanajiamini nini?
Walijua wote wanaohusika na usalama wa watu na mali zao wanapamabana katika chaguzi ndogo, kuunga mkono rais na kupambana na viongozi wa vyama vya upinzani.
 
Mo anachangia pato letu LA taifa pakubwa Sana mkuu. Lazima wahakikishe anapatikana Kwa hali yoyote ile

Kwa hiyo Mo Dewji kiuchumi ni muhimu kuliko airport yetu moja ya kuingia na kutoka nchini?

Na siku Mo akistaafu uchumi wa nchi utayumba?

Jeff Bezos unamjua?

Marekani hawawezi kufunga JFK airport kwa sababu eti Jeff Bezos katekwa.
 
Nasikia Bashite amekanusha kama Mo amepatikana tena.. Na amewatishia wote wanaoeneza uvumi huo kwamba Mo amepatikana watakiona cha moto..! Mie nimemsikiliza kwenye clip ya video akisema Mo amepatikana na watekaji wamekamatwa.. Sasa hii anayokuja kukanusha na kutishia ni nini..? Kwa nini asijianze na yeye kwanza..? Ndo maana hili tukio toka nilipolisikia, nilipata shaka, kuna kitu hakikuwa sawa, ndo nazidi kuamini kuna kubwa nyuma ya pazia..

Hii nchi tunaweza kuongeza mapato ya utalii kwa kutangaza vituko tunavyofanyiwa na ccm. Ni vivutio tosha.
 
Back
Top Bottom