Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

Haya matukio ya kutekana yanaichafulia jina Tz yetu na yasipodhibitiwa yataathiri utalii na uwekezaji
 
Kama "magenius" huko TISS wamewahi kuchemsha vichwa inabidi this time "wazichange" kisawasawa. Naiangalia kiuchumi, wawekezaji, jamii ya waasia na taswira inayoenda kukamilishwa vichwani mwa Watanzania. Rais wetu JPM nakuombea Mungu aseme na wewe ili uchukue hatua sahihi na kuokoa taswira ya Taifa letu na kama lengo ni kukuchafua "wachafue" . Tumuombee MO awe salama.

taswira ya taifa kweli imechafuka vibaya sana kwa tukio hili vyombo vya habari vya kimataifa vyote vinaongelea

kutekwa kwa MO Hii kitu inatutia doa kama nchi kisiasa na kiuchumi na kiusalama.
 
Nadhani burning issue leo ingekua mwendo kasi ila ndio ivyo tena

Hivi habari ya mwendokasi ndio imekufa? Mmmmm hapa kuna jambo. Yaani kila matukio makubwa ya kuitingisha Dar yakitokea, basi hupandikizwa tatizo jingine ili watu wasahau matatizo ya msingi.

Hizi mbinu sijui zitaisha lini, maana hii ya mwendo kasi ni bonge ya tatizo, ni balaaaaa.

Haya tuone haya matatizo mawili yatakwendaje sambamba.
 
Huyo nina uhakika hajatekwa, yupo mikono salama, cha muhimu ni kusubiri muda ufike tukutane naye mahakamani, tatizo kuna idara zinakiuka taratibu, TISS kazi yake si kukamata wala kufanya upelelezi wa makosa ya jinai, wao wakiona shwala linahatarisha usalama wa nchi na wakawa na uhakika juu ya ishu hiyo hupeleka kwenye chombo husika ambao ni polisi kwa ajili ya kufanya upelelezi na kupeleka shauri kwa DPP au mahakamani, huyo atakuwa chini ya TISS na ndio maana usikute polisi hawana taarifa yoyote na ukamataji wake umekuwa kama wa kutekwa maana wao hawana mamlaka ya kumkamata mtu na kumuweka kizuizini

Hamna kitu km iko,,serikali imteke MO wakati ndio wakuza uchumi wetu,,hii coment yako mkuu itakuletea matatizo
 
UPDATE 4: 1100HRS
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda amekanusha taarifa za kupatikana kwa mfanyabishara Mohammed Dewji, na kwamba taarifa zilizosambaa kuwa amepatikana sio sahihi.
Nimemsikiliza vizuri Makonda ........ amesema kuwa "Majibu sahihi ni kuwa Mo amepatikana na wahalifu wametiwa mikononi mwa vyombo vyetu vya dola...."

Kama siyo kweli basi AIBU KUBWA ............ Kiongozi Mkubwa kama yeye hakutakiwa kutoa habari zisizo na uhakika!!
 
Itakuwa ni bashite tu anataka kuwakamua hela ndugu za Mo na kumlazimisha Mo ahamishe fedha kwenda akaunti za bashite za offshore.

Hapa muhimu ni kucheza na akaunti zake ikionekana kunafanyika muamala kwa njia ya mtandao ,fasta wana block,then wanafanya tracking kujua hao jamaa wapo sehemu gani..

Hapa ndiyo vyombo vyetu vya ulinzi na usalama ,vinapaswa kuonyesha weledi wa hali ya juu katika hili sakata


Mwenyezi Mungu amsimamie Mo dhidi ya hao wahalifu.
 
Pamoja na polisi wetu kuonyesha udhaifu mkubwa kwa namna wanavyshughulikia uhalifu kwa mifano (Matukio yaliyovuma sana ya watu kutekwa na kuuwawa, na tukio la kupigwa risasi Mb. Tundu Lissu), kwa hili tuwashauri polisi yakipita masaa 24 hajapatikana, basi waombe msaada vyombo vya nje ikiwepo interpol/FBI watusaidie kuwasaka hawa watekaji. Kwa tukio hili nchi inaweza kupata hasara kubwa sana, ukizingatia huyu Mo anatambulika kimataifa na network yake inalipa taiafa hadhi kubwa kuliko sisi maskini ambao hata tukipotea mia moja serikali inaweza kufumba macho na maisha yakaendelea kama hakuna kilichotokea.
Ushauri mzuri Hapo kwenye INTERPOL/FBI ili apatikane haraka akiwa hajadhurika.. Ajabu watakataa kuonyesha wanaweza hata wakishindwa.
hapo mwishoni umeongea ukweli mchungu.
 
Dawa yao ni kuwapiga au kuwapiga Risasi kama yule Zakaria wa huko Tarime.
Zakaria aliusoma mchezo wote akachukua hatua. Ndugu yetu Mo Dewji yeye hakujua alishtukia tu hawa.
 
Hamna kitu km iko,,serikali imteke MO wakati ndio wakuza uchumi wetu,,hii coment yako mkuu itakuletea matatizo
serikali inayo ongozwa na kichaa unadhani unaweza kuliona hilo kama ambavyo wewe umeliona "...? Mbona mnalazimisha chizi aweze kuwa na Akili timamu ""?
 
Back
Top Bottom