Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Tutajua Bashite kapata chake!
Lakini Mambosasa atatueleza hao wazungu aliwaona wapi.
Lakini Mambosasa atatueleza hao wazungu aliwaona wapi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
lkn atakuwa kaonesha tatizoAtafungwa kwa kupoteza muda wa watu
lkn atakuwa kaonesha tatizo
na vipi ikiwa hivyo mkuuPeleka huu upuuzi kwenye ma group ya whattsup
Kwa vile kila mtu yuko entittled kutoa mawazo yake acha na mimi nitoe yangu, MODS MODS MODS mjifunze kuvumilia mawazo tofauti na mpungeze kuunganisha nyuzi.
Watoto kila siku wanapotea,watu wazima wanapotea, wengine wanatekwa mara Nondo mara Roma.
Tuseme Mo akaamua kutumia nafasi yake kwenye jamii na kuamua kuaddress tatizo kwa njia ambayo wengi hatukutegemea, yaani akastage utekaji na kila kitu, na hili kulifanya tukio likaribiane na ukweli basi ikabidi hata familia yake hasiishirikishe ili kuongeza awareness kuhusu matukio ya utekaji yanayoshika kasi kwenye jamii.
Wakuu naomba ije kuwa hivi ili Mo arudi akiwa salama bila kuumia hata kucha.
Aliyesema ndo anajua alijuaje ni wazunguHebu naombeni mnijuze wandugu aliyewaona wazungu waliomteka MO ni nani? Yupo wapi mpaka sasa na amesaidiaje upelelezi ili kumpata MO? msiunganishe uzi tupate mawazo tofauti nyie @moderators
Aisee unaweza kukuta mtafutaji ndio mtekaji.ngoja tuoneAliyesema ndo anajua alijuaje ni wazungu