Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

Tutaendelea kumtafuta MO na kuhakikisha watanzania wanapata majibu sahihi na majibu sahihi ni kwamba MO AMEPATIKANA NA WATEKAJI WAKE WAMEKAMATWA.

Tusipende ku twist maneno ili kufurahisha watu.
Ndio maana umeambiwa tujadili kauli tata kuna wengine tulielewa tayari MO kapatikana.
 
Kwani mtu akivaa kininja mikono aiyonrkani kuona rangi ya ngozi, kingine ni saokolojia ndogo tu kwamba endapo weupe wamkono angekuwa nao mmoja ingekuwa ni wa Africa ila kuwaona wote na rangi nyrupe inamaana ni wazungu uwenda hata wakawa albino ila aiwezi albino kuongozana kwa infruence hipi asa.

Hitimisho
Mask aizibi mwili wote hivyo kuonekana wote wana rangi nyeupe lwa baadhi ya viungo vilivyoonekana inatosha kusema ni wazungu.

Nime tupe fasta naogopa kuibiwa simu kizani.
Kwa wapumbavu kama huyu October man kuzidi kuongezeka JF, sijui wanapitia milango gani hiyo wasikoweza kuhojiwa kama wana akili timamu kabla ya kufunguliwa.
 
Jeshi la polisi si wamesema ni jambo la kawaida na watu waendelee na shghuli za kulijenga Taifa? Lugola mwenyewe badala ya kutuhakikishia kuwa uchunguzi wa kumpata mtekwaji unaendelea kwa kasi na kuomba huo ushirikiano, hakusema hivyo wala kuomba ushirikiano wa wananchi.Sanasana alisema kuna amani, na akukumbushia kuwa jiwe ndo rais(sijui kutekwa kuna uhusiano gani na yeye kutokuwa ama kuwa rais?), unless kuna yaliyomo nyuma ya pazia tusiyoyajua(ambapo mimi ninaamini hivyo)Pia alisema hakuna uhalifu zaidi ya wivu wa mapenzi ambao polisi ndo wanafuatilia. Khaa! kaazi!
Nchi imekuwa chaka la wahuni mkuu
 
Tutaendelea kumtafuta MO na kuhakikisha watanzania wanapata majibu sahihi na majibu sahihi ni kwamba MO AMEPATIKANA NA WATEKAJI WAKE WAMEKAMATWA.

Tusipende ku twist maneno ili kufurahisha watu.
Mimi ndio nilielewa hivi kwa kweli lakini sishangai kama watu wananukuu mstari mmoja kwenye vitabu vya dini itakuwa kauli ya mtu.
 
Kwani mtu akivaa kininja mikono aiyonrkani kuona rangi ya ngozi, kingine ni saokolojia ndogo tu kwamba endapo weupe wamkono angekuwa nao mmoja ingekuwa ni wa Africa ila kuwaona wote na rangi nyrupe inamaana ni wazungu uwenda hata wakawa albino ila aiwezi albino kuongozana kwa infruence hipi asa.

Hitimisho
Mask aizibi mwili wote hivyo kuonekana wote wana rangi nyeupe lwa baadhi ya viungo vilivyoonekana inatosha kusema ni wazungu.

Nime tupe fasta naogopa kuibiwa simu kizani.
Unajua maana ya kuvalia kininja. Umewahi kuwaona Ninjas? Hata kwenye picha tu
 
Watu wanapotea raisi Yuko kimya...!!

Yaaani zitto namkibali Sana kwa kauri zake kadhaa,

Mfano ,ibara flani itumike , tumekabidhi inchi sijui kwa watu gani vile ??
 
Ndugu yako huyu huku anapewa kibano na Wahindi wewe unampigania Muhindi? Ni lazima utakuwa mgonjwa wa akili au labda umekulia uhindini umelelewa huko?



Barbarosa,
Kama mie mgonjwa wa akili we utakuwa zezeta au teja!
Mtu kama wewe unatakiwa uwe mahabusu ili uisaidie polisi kwa kuonesha ubaguzi wa RANGI KWA MTANZANIA MWENZETU MWENYE ASILI YA INDIA!
Remember this it'll help you:
Mohamed Dewji(MO)ni Mtanzania mwenye asili ya Kihindi aliyezaliwa Singida 1975.Kwa taarifa yako Mo amewahi kuwa MBUNGE wa SINGIDA MJINI kupitia CCM for 10 years (2005-2015). Wakti wa Baba Nyerere tumewahi kuwa na Mawaziri Watz wenye asili ya India kama AMIR JAMAL(Finance)na wengineo!
Unachoonesha wewe ni chuki na wivu kwa Mo kwa vile ni tajiri mwenye ukwasi wa kutisha!!
 
Barbarosa,
Kama mie mgonjwa wa akili we utakuwa zezeta au teja!
Mtu kama wewe unatakiwa uwe mahabusu ili uisaidie polisi kwa kuonesha ubaguzi as RANGI KWA MTANZANIA MWENZETU MWENYE ASILI YA INDIA!
Remember this it'll help you:
Mohamed Dewji(MO)ni Mtanzania mwenye asili ya Kihindi aliyezaliwa Singida 1975.Kwa taarifa yako Mo amewahi kuwa MBUNGE wa SINGIDA MJINI kupitia CCM for 10 years (2005-2015). Wakti wa Baba Nyerere tumewahi kuwa na Mawaziri Watz wenye asili ya India kama AMIR JAMAL(Finance)na wengineo!
Unachoonesha wewe ni chuki na wivu kwa Mo kwa vile ni tajiri mwenye ukwasi wa kutisha!!


Wewe bado uko bondage umefungwa minyotoro ya utumwa na ndo maana unatetea Muhindi ambaye hakuthamini na anakuona kama takataka tu, hakuna Muhindi anakujali wewe, Dewji ni Muhindi na atabakia kuwa Muhindi na haijalishi amezaliwa wapi na wewe kwake ni binadamu daraja la pili hata ufanye nini.

Labda nikuulize unajua kwamba India kuna Waaafrika weusi kama wewe na mimi wanaishi misituni hata uraia wamenyimwa?

Jielimishe kuhusu Wabantu wajulikanao kama siddi huko India wanabaguliwa kama takataka tu hakuna anayeweza kuiwaita Indians mpaka leo hii!

1539460690250.png
 
Hatujamsahau yaani mi nalogin mitandao kuliko muda wowote japo nione habari njema ila hola binafsi sijawahi muona physically ila kaniumiza sana sana utadhani ndugu wa karibu .kweli dunia ni katiri sometimes
Me kila siku nakunywa mo energy kumuenzi
 
Back
Top Bottom