Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hawatathubutu kukubali .Tuombe msaada wa Scotland Yard..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawatathubutu kukubali .Tuombe msaada wa Scotland Yard..
Ndio maana umeambiwa tujadili kauli tata kuna wengine tulielewa tayari MO kapatikana.Tutaendelea kumtafuta MO na kuhakikisha watanzania wanapata majibu sahihi na majibu sahihi ni kwamba MO AMEPATIKANA NA WATEKAJI WAKE WAMEKAMATWA.
Tusipende ku twist maneno ili kufurahisha watu.
Kwa wapumbavu kama huyu October man kuzidi kuongezeka JF, sijui wanapitia milango gani hiyo wasikoweza kuhojiwa kama wana akili timamu kabla ya kufunguliwa.Kwani mtu akivaa kininja mikono aiyonrkani kuona rangi ya ngozi, kingine ni saokolojia ndogo tu kwamba endapo weupe wamkono angekuwa nao mmoja ingekuwa ni wa Africa ila kuwaona wote na rangi nyrupe inamaana ni wazungu uwenda hata wakawa albino ila aiwezi albino kuongozana kwa infruence hipi asa.
Hitimisho
Mask aizibi mwili wote hivyo kuonekana wote wana rangi nyeupe lwa baadhi ya viungo vilivyoonekana inatosha kusema ni wazungu.
Nime tupe fasta naogopa kuibiwa simu kizani.
Nchi imekuwa chaka la wahuni mkuuJeshi la polisi si wamesema ni jambo la kawaida na watu waendelee na shghuli za kulijenga Taifa? Lugola mwenyewe badala ya kutuhakikishia kuwa uchunguzi wa kumpata mtekwaji unaendelea kwa kasi na kuomba huo ushirikiano, hakusema hivyo wala kuomba ushirikiano wa wananchi.Sanasana alisema kuna amani, na akukumbushia kuwa jiwe ndo rais(sijui kutekwa kuna uhusiano gani na yeye kutokuwa ama kuwa rais?), unless kuna yaliyomo nyuma ya pazia tusiyoyajua(ambapo mimi ninaamini hivyo)Pia alisema hakuna uhalifu zaidi ya wivu wa mapenzi ambao polisi ndo wanafuatilia. Khaa! kaazi!
Jibu hoja sio personal attack, zihirisha kama wewe si kiraza.Kwa wapumbavu kama huyu October man kuzidi kuongezeka JF, sijui wanapitia milango gani hiyo wasikoweza kuhojiwa kama wana akili timamu kabla ya kufunguliwa.
Mimi ndio nilielewa hivi kwa kweli lakini sishangai kama watu wananukuu mstari mmoja kwenye vitabu vya dini itakuwa kauli ya mtu.Tutaendelea kumtafuta MO na kuhakikisha watanzania wanapata majibu sahihi na majibu sahihi ni kwamba MO AMEPATIKANA NA WATEKAJI WAKE WAMEKAMATWA.
Tusipende ku twist maneno ili kufurahisha watu.
Unajua maana ya kuvalia kininja. Umewahi kuwaona Ninjas? Hata kwenye picha tuKwani mtu akivaa kininja mikono aiyonrkani kuona rangi ya ngozi, kingine ni saokolojia ndogo tu kwamba endapo weupe wamkono angekuwa nao mmoja ingekuwa ni wa Africa ila kuwaona wote na rangi nyrupe inamaana ni wazungu uwenda hata wakawa albino ila aiwezi albino kuongozana kwa infruence hipi asa.
Hitimisho
Mask aizibi mwili wote hivyo kuonekana wote wana rangi nyeupe lwa baadhi ya viungo vilivyoonekana inatosha kusema ni wazungu.
Nime tupe fasta naogopa kuibiwa simu kizani.
Ni mask nimerekebishaUnajua maana ya kuvalia kininja. Umewahi kuwaona Ninjas? Hata kwenye picha tu
Wia ini ze raiti trakihuyu rais wetu si aliapa kulinda usalama na amani ya watanzania. kwanini hatoki hagharani kukemea
Ndugu yako huyu huku anapewa kibano na Wahindi wewe unampigania Muhindi? Ni lazima utakuwa mgonjwa wa akili au labda umekulia uhindini umelelewa huko?
Barbarosa,
Kama mie mgonjwa wa akili we utakuwa zezeta au teja!
Mtu kama wewe unatakiwa uwe mahabusu ili uisaidie polisi kwa kuonesha ubaguzi as RANGI KWA MTANZANIA MWENZETU MWENYE ASILI YA INDIA!
Remember this it'll help you:
Mohamed Dewji(MO)ni Mtanzania mwenye asili ya Kihindi aliyezaliwa Singida 1975.Kwa taarifa yako Mo amewahi kuwa MBUNGE wa SINGIDA MJINI kupitia CCM for 10 years (2005-2015). Wakti wa Baba Nyerere tumewahi kuwa na Mawaziri Watz wenye asili ya India kama AMIR JAMAL(Finance)na wengineo!
Unachoonesha wewe ni chuki na wivu kwa Mo kwa vile ni tajiri mwenye ukwasi wa kutisha!!
Hadi bashite afeUwezo upo,swala ni uthubutu wa dhati.
RcWameshawahi kumpata nani alietekwa?
Labda tuanzie hapo
Me kila siku nakunywa mo energy kumuenziHatujamsahau yaani mi nalogin mitandao kuliko muda wowote japo nione habari njema ila hola binafsi sijawahi muona physically ila kaniumiza sana sana utadhani ndugu wa karibu .kweli dunia ni katiri sometimes