A.K.A fat money 😂Hivi kutakuwa na Upelelezi kweli? kwa maana Polisi wote wako bize kule Twitter wakikimbizana na" wahalifu " huku wakiahidi Fat gift
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
A.K.A fat money 😂Hivi kutakuwa na Upelelezi kweli? kwa maana Polisi wote wako bize kule Twitter wakikimbizana na" wahalifu " huku wakiahidi Fat gift
Alikua anakunywa karib na alipookotwa sawa nimeelewaPitia uzi kwa utulivu, mleta mada kaendelea kufafanua kwamba Mabumo walikuwa Bar ya jirani na hapo mwili ulipotupwa, so walivyosikia makelele ya bodaboda wakaja mbio kuona na Mabumo anamfahamu maana walikuwa wote ITV...
Kwani bashite ameshakufa?Ingekua Hayati yupo waja wangemsingiza kahusika
Kwani bashite ameshakufa?
Mualifu ni mualifu tuKwani bado ana uongozi
Amewakosea nini ?
Mtangazaji wa kituo cha ITV cha jijini DAR ES SALAAM Bi Blandina Sembu amekutwa akiwa ameuawa maeneo ya ITV Mwenge usiku saa sita.
Mwili huo ulitambuliwa na Henry Mabumo aliyekuwa mtangazaji mwenzake kabla Mabumo hajahamia TBC.
Mwili ulichukuliwa na Polisi usiku huohuo.
Taarifa rasmi zitafuata.
=====
Jeshi la Polisi mkoa wa Kinondoni limethibitisha taarifa za kifo cha mtangazaji wa ITV Blandina Sembu, likieleza kuwa ni tukio la mauaji.
Kamanda wa Polisi wa mkoa huo Ramadhan Kingai ameeleza kuwa walipata taarifa za mwili wa Blandina kutupwa mbele ya baa ya Maryland saa tano usiku.
Amesema gari aina ya Toyota Noah ilifika katika eneo hilo na kusimama kwa muda mfupi kabla ya kutupa mwili wa Blandina akiwa tayari amefariki.
Kamanda Kingai ameeleza kuwa bodaboda waliokuwa wamepaki jirani na eneo hilo walishuhudia gari lililowashaa taa likisimama kwa dakika mbili kisha wakaona mwanamke ametupwa.
“Uchunguzi unaendelea ila tulichobaini huyu mtu hakuuliwa pale, mauaji yalifanyika sehemu nyingine pale walienda kumtupa.
Dunia uwanja wa fujoWahalifu hawana dogo,Wanamtakia nini huyo dada