careenjibebe
JF-Expert Member
- May 28, 2020
- 1,604
- 1,652
dah!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wacha kudanganya watu humu, kila mtu alikua na sababu ya kumchukia magu ila wewe ni NGADA full stop.niliuchukia uongozi wa magufuli kwa kukandamiza demokrasia,kuteka,kuua watu na kupora uchaguzi
Unashangaa hili mkuu, kuna lile pia la wafu kufungwa kwenye viroba na kutupwa ufukweni, halafu mamlaka zikatoa majibu ya rejareja!😡😡Watanzania Tumekuwa Wakatili Wa Kiasi Hiki?
Pumzika Dada Yangu,Nasi Twaja.
😀😀😀😀Bashite yupo hapa mjini? Ndiyo mikato yake hii.
DuuuuuhView attachment 1736495
View attachment 1736481
Mtangazaji wa kituo cha ITV cha jijini DAR ES SALAAM Bi Blandina Sembu amekutwa akiwa ameuawa maeneo ya ITV Mwenge usiku saa sita.
Mwili huo ulitambuliwa na Henry Mabumo aliyekuwa mtangazaji mwenzake kabla Mabumo hajahamia TBC.
Mwili ulichukuliwa na Polisi usiku huohuo.
Taarifa rasmi zitafuata.
=====
Jeshi la Polisi mkoa wa Kinondoni limethibitisha taarifa za kifo cha mtangazaji wa ITV Blandina Sembu, likieleza kuwa ni tukio la mauaji.
Kamanda wa Polisi wa mkoa huo Ramadhan Kingai ameeleza kuwa walipata taarifa za mwili wa Blandina kutupwa mbele ya baa ya Maryland saa tano usiku.
Amesema gari aina ya Toyota Noah ilifika katika eneo hilo na kusimama kwa muda mfupi kabla ya kutupa mwili wa Blandina akiwa tayari amefariki.
Kamanda Kingai ameeleza kuwa bodaboda waliokuwa wamepaki jirani na eneo hilo walishuhudia gari lililowashaa taa likisimama kwa dakika mbili kisha wakaona mwanamke ametupwa.
“Uchunguzi unaendelea ila tulichobaini huyu mtu hakuuliwa pale, mauaji yalifanyika sehemu nyingine pale walienda kumtupa.
pole sana mama D😭😭😭😭
Pia alikutwa na majeraha sehemu mbalimbali za mwili wakeDuuuuuh
Very sadView attachment 1736495
View attachment 1736481
Mtangazaji wa kituo cha ITV cha jijini DAR ES SALAAM Bi Blandina Sembu amekutwa akiwa ameuawa maeneo ya ITV Mwenge usiku saa sita.
Mwili huo ulitambuliwa na Henry Mabumo aliyekuwa mtangazaji mwenzake kabla Mabumo hajahamia TBC.
Mwili ulichukuliwa na Polisi usiku huohuo.
Taarifa rasmi zitafuata.
=====
Jeshi la Polisi mkoa wa Kinondoni limethibitisha taarifa za kifo cha mtangazaji wa ITV Blandina Sembu, likieleza kuwa ni tukio la mauaji.
Kamanda wa Polisi wa mkoa huo Ramadhan Kingai ameeleza kuwa walipata taarifa za mwili wa Blandina kutupwa mbele ya baa ya Maryland saa tano usiku.
Amesema gari aina ya Toyota Noah ilifika katika eneo hilo na kusimama kwa muda mfupi kabla ya kutupa mwili wa Blandina akiwa tayari amefariki.
Kamanda Kingai ameeleza kuwa bodaboda waliokuwa wamepaki jirani na eneo hilo walishuhudia gari lililowashaa taa likisimama kwa dakika mbili kisha wakaona mwanamke ametupwa.
“Uchunguzi unaendelea ila tulichobaini huyu mtu hakuuliwa pale, mauaji yalifanyika sehemu nyingine pale walienda kumtupa.
Asante pole nawe BRAIN BOXpole sana mama D
Pitia uzi kwa utulivu, mleta mada kaendelea kufafanua kwamba Mabumo walikuwa Bar ya jirani na hapo mwili ulipotupwa, so walivyosikia makelele ya bodaboda wakaja mbio kuona na Mabumo anamfahamu maana walikuwa wote ITV...Kuhusu Mabumo sijaelewa kabisa ,inatakiwa ufafanuzi