naiman64
JF-Expert Member
- Nov 22, 2013
- 6,961
- 5,460
Kila jumanne nadhani saa moja jioni (kama sikojakosea.muda) Jarida la akina mamaDah,ni wivu kazini au?Alikuwa anatangaza kipindi gani ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila jumanne nadhani saa moja jioni (kama sikojakosea.muda) Jarida la akina mamaDah,ni wivu kazini au?Alikuwa anatangaza kipindi gani ?
Inaudhi Sana....leo,nimemkumbuka Alphonce Mawazo,Ben Saanaane na jaribio la lisuu😰😰😰
Una manisha nini rose?mkenya aliyejigeuza kuwa mtanzania
Nanii angekuwepo hai wangesema yeye anahusika.View attachment 1736495
View attachment 1736481
Mtangazaji wa kituo cha ITV cha jijini DAR ES SALAAM Bi Blandina Sembu amekutwa akiwa ameuawa maeneo ya ITV Mwenge usiku saa sita.
Mwili huo ulitambuliwa na Henry Mabumo aliyekuwa mtangazaji mwenzake kabla Mabumo hajahamia TBC.
Mwili ulichukuliwa na Polisi usiku huohuo.
Taarifa rasmi zitafuata.
au walishirikiana na yule anayetafutwa,any way may be ni issue binafsi
Isije kuwa alikuwa na taarifa muhimu za wakwapuaji wa hela za umma
View attachment 1736495
View attachment 1736481
Mtangazaji wa kituo cha ITV cha jijini DAR ES SALAAM Bi Blandina Sembu amekutwa akiwa ameuawa maeneo ya ITV Mwenge usiku saa sita.
Mwili huo ulitambuliwa na Henry Mabumo aliyekuwa mtangazaji mwenzake kabla Mabumo hajahamia TBC.
Mwili ulichukuliwa na Polisi usiku huohuo.
Taarifa rasmi zitafuata.
ndio maana wamemuua?mkenya aliyejigeuza kuwa mtanzania
Hivi huyu Ufoo Saro yupo wapi siku hizi???R.I.p Blandina, nimejikuta nakumbuka tukio la Ufuo Salo miaka ile!
Haya ninyi mliokuwa mnamhusisha Magu mpoo!? RIP dada!Haya ya utekaji na uuaji tulishayasahau,yani Jiwe kaondoka tu haijapita hata mwezi tayari maonezi yameanza.Daah so sad
Kwani ni lazima wawe wakubwa?! Wanaweza kuwa ni vibaka, au family issues, au private issues na visasi... It upKawakosea nini wakubwa