Pablo Blanco
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 7,328
- 6,638
ameharibu sana nchi yule mzeeNimecheka katikati ya huzuni jaman[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ameharibu sana nchi yule mzeeNimecheka katikati ya huzuni jaman[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Lakini watu bhana, sqsa huyo kwanza ukimvamia hata hawezi jisaidia maskini na mkono mmoja jitu limuua....View attachment 1736440
View attachment 1736481
Mtangazaji wa kituo cha ITV cha jijini DAR ES SALAAM Bi Blandina Sembu amekutwa akiwa ameuawa maeneo ya ITV Mwenge usiku saa sita.
Mwili huo ulitambuliwa na Henry Mabumo aliyekuwa mtangazaji mwenzake kabla Mabumo hajahamia TBC.
Mwili ulichukuliwa na Polisi usiku huohuo.
Taarifa rasmi zitafuata.
Cha wanawake na maendeleo ITV mpendwa.Dah,ni wivu kazini au?Alikuwa anatangaza kipindi gani ?
Sijasahau mtumishi, Ila yalitulia kidogo. Hem watuache kidogo tupambane na vifo vya korona manake nadhani vinatutosha.Mhh mbona hata wakati yupo watu mob waliuawa best au unajisahaulisha shemasi
Acha math.engeIna maana haya mauza uza ya hili shetani liliokufa bado yanaendelea?
We itakuwa ulikuwa liuza ngada na hii mi avatar yenu inaakisi jinsi mlivyo....ameharibu sana nchi yule mzee
Jarida la WanawakeDah,ni wivu kazini au?Alikuwa anatangaza kipindi gani ?
Mkuu ujambazi ulimalizwa kipindi cha kikwete ,majambazi wengi walikuwa ni baadhi ya askari wasiokuwa waaminifu wakishirikiana na majambazi wa kitaa,Mahita ndio alikuwa ana engineer magenge ya majambazi na yeye anakula cha juu...Majambazi hayawezi kurudi tena maana wengi walishakula "VYUMA".Kati ya mambo ambayo ninayahofia baada ya kifo Cha JPM Ni hili la wimi la ujambazi.... Tulikuwa peace hatari
hizo habari yeye atatolea wapi?Bujibuji
Mbona unatoa habari haijitoshelezi? Unatetemeka? Marehemu ameuwawa hapo ITV? Kwa nini Henry Mabumo ndio aje kuutambua mwili?
[emoji15][emoji15][emoji15] mtuombe msamaha jamani khaaa! [emoji17][emoji17][emoji17]
Huyu Dada ameuwawa?View attachment 1736440
View attachment 1736481
Mtangazaji wa kituo cha ITV cha jijini DAR ES SALAAM Bi Blandina Sembu amekutwa akiwa ameuawa maeneo ya ITV Mwenge usiku saa sita.
Mwili huo ulitambuliwa na Henry Mabumo aliyekuwa mtangazaji mwenzake kabla Mabumo hajahamia TBC.
Mwili ulichukuliwa na Polisi usiku huohuo.
Taarifa rasmi zitafuata.