Dar: Mtangazaji wa ITV, Blandina Sembu atupwa barabarani kituo cha Mwenge ITV akiwa ameuawa

Dar: Mtangazaji wa ITV, Blandina Sembu atupwa barabarani kituo cha Mwenge ITV akiwa ameuawa

View attachment 1736440
View attachment 1736481
Mtangazaji wa kituo cha ITV cha jijini DAR ES SALAAM Bi Blandina Sembu amekutwa akiwa ameuawa maeneo ya ITV Mwenge usiku saa sita.

Mwili huo ulitambuliwa na Henry Mabumo aliyekuwa mtangazaji mwenzake kabla Mabumo hajahamia TBC.

Mwili ulichukuliwa na Polisi usiku huohuo.
Taarifa rasmi zitafuata.
Lakini watu bhana, sqsa huyo kwanza ukimvamia hata hawezi jisaidia maskini na mkono mmoja jitu limuua....
 
Daah! dada, wa watu sijui ni nini kimemsababisha auwawe
giphy.gif
 
Kati ya mambo ambayo ninayahofia baada ya kifo Cha JPM Ni hili la wimi la ujambazi.... Tulikuwa peace hatari
Mkuu ujambazi ulimalizwa kipindi cha kikwete ,majambazi wengi walikuwa ni baadhi ya askari wasiokuwa waaminifu wakishirikiana na majambazi wa kitaa,Mahita ndio alikuwa ana engineer magenge ya majambazi na yeye anakula cha juu...Majambazi hayawezi kurudi tena maana wengi walishakula "VYUMA".
 
Katika kazi sizipendi naziogopa zenye hatari ya kupoteza maisha bila Mungu kupenda ni

1.Usalama (polisi na wanajeshi)
2.Uandishi wa Habari
3.Udereva (wa aina yeyote ile iwe ndege/meli/rocket,nk)

Hizi sekta 3 hizi Mungu apende asipende wanadamu wanaweza amua yao wakafanya kweli.
 
View attachment 1736440
View attachment 1736481
Mtangazaji wa kituo cha ITV cha jijini DAR ES SALAAM Bi Blandina Sembu amekutwa akiwa ameuawa maeneo ya ITV Mwenge usiku saa sita.

Mwili huo ulitambuliwa na Henry Mabumo aliyekuwa mtangazaji mwenzake kabla Mabumo hajahamia TBC.

Mwili ulichukuliwa na Polisi usiku huohuo.
Taarifa rasmi zitafuata.
Huyu Dada ameuwawa?

Kulikoni?
 
Back
Top Bottom