Dar: Mtangazaji wa ITV, Blandina Sembu atupwa barabarani kituo cha Mwenge ITV akiwa ameuawa

Dar: Mtangazaji wa ITV, Blandina Sembu atupwa barabarani kituo cha Mwenge ITV akiwa ameuawa

Mwili wa ntangazaji wa kipindi cha Jarida la Wanawake kinachorushwa na televisheni ya ITV, Blandina Sembu umeokotwa pembeni mwa barabara ya Ali Hassan Mwinyi jijini Dar es Salaam.

Chanzo cha kifo bado hakijajulikana.

Chanzo: MCL
 
Back
Top Bottom