Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
🤣🤣🤣ina maana haya mauza uza ya hili shetani liliokufa bado yanaendelea?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣ina maana haya mauza uza ya hili shetani liliokufa bado yanaendelea?
Duh duh watu wabaya sana dah 😭
😭😭😭 inauma sanaInatisha💔🙌
Inaudhi Sana....leo,nimemkumbuka Alphonce Mawazo,Ben Saanaane na jaribio la lisuu😰😰😰Nini shida jamani💔💔 hadi kumtoa mtu uhai😭😭😭
Mungu wewe😭😭😭🙌🙌🙌
Hata wewe SI wa mkoani tu mkuu maana jiji lilisha vuliwa hadhi
Dah,ni wivu kazini au?Alikuwa anatangaza kipindi gani ?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kutaka kueleweshwa ni usumbufu? Watu wa Dar bana!
Nimecheka katikati ya huzuni jaman🤣🤣🤣ina maana haya mauza uza ya hili shetani liliokufa bado yanaendelea?
Mhh mbona hata wakati yupo watu mob waliuawa best au unajisahaulisha shemasiBinadamu ni kiumbe hatari sana humu duniani. Mmeanza tena kuuana baada ya mwamba kutangulia, sio?
Mimi nipo Bukoli nitayajua vipi hayo maeneo? Ila sasa hivi umeweka mambo sawa.