Dar: Mtangazaji wa ITV, Blandina Sembu atupwa barabarani kituo cha Mwenge ITV akiwa ameuawa

Pitia uzi kwa utulivu, mleta mada kaendelea kufafanua kwamba Mabumo walikuwa Bar ya jirani na hapo mwili ulipotupwa, so walivyosikia makelele ya bodaboda wakaja mbio kuona na Mabumo anamfahamu maana walikuwa wote ITV...
Alikua anakunywa karib na alipookotwa sawa nimeelewa
 

Jeshi la Polisi mkoa wa Kipolisi Kinondoni limethibitisha kutupwa kwa mwili wa aliyekuwa mwandishi wa habari ITV/Radio one Blandina Sembu katika eneo la njia panda ya ITV na watu wasiojulikana waliokuwa wakitumia gari aina ya Noah.
 
Amewakosea nini ?
 
sijui ni nini(ningekuwa mpiga ramli au mganga ) inangesema ni maswala ya kimapenzi sidhani kama ni kazi .
nilipenda vipindi vyake japo wanawake wenyewe walikuwa wanapishana navyo wanasubiri isidingo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…