Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
Wahalifu watakamatwa tu ngoja tusubiri!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kutazama tukio tu, kauwawa kwingine na katupwa karibu na kazini kwake, Maryland bar , bar inayotumiwa na waandishi wa habari.Kawakosea nini wakubwa
Magu ilikuwa ni muktadha wa kisiasa...Tulisema ni Magu, hayupo sasa. Atakuwa nani?
Umekosea kukisiaIngekuwa umri fulani tungezani labda kachukua mume wa mtu lakini kwa umri huo sizani.
Hivi nae aliuliwaR.I.p Blandina, nimejikuta nakumbuka tukio la Ufuo Salo miaka ile!
Mkuu tunaweza pata hata screenshot yake maana nimeambiwa ila siaminiNdivyo walivyoandika
Hiyo confidence ya kutapa mwili Saturday saa sita usiku maeneo ya mwenge anayo kichaa tu.RIP DADA.
Mbona kwenye page ya kwanza iko picha yakeMkuu tunaweza pata hata screenshot yake maana nimeambiwa ila siamini
Mapenzi? Kivip?Inatisha💔🙌
Nasema hiyo fat giftMbona kwenye page ya kwanza iko picha yake
Nilikuwa naona humu jana sijui ulikuwa Uzi wa nani ngoja niuangaze Mkuu.Nasema hiyo fat gift
Gift fat jamen sioNasema hiyo fat gift