Dar: Mtangazaji wa ITV, Blandina Sembu atupwa barabarani kituo cha Mwenge ITV akiwa ameuawa

Dar: Mtangazaji wa ITV, Blandina Sembu atupwa barabarani kituo cha Mwenge ITV akiwa ameuawa

Unayajua maeneo hayo vizuri?
Kina Mabumo walikuwa Maryland wanakunywa, kuna mtu akaja anapiga kelele kuwa kaona maiti, ila anadhani marehemu ni mfanyakazi wa ITV.
Ndipo Mabumo na watu wengine pale bar wakainuka na wakaenda kumtambua
Bujibuji...ulikuwepo nini au nilikufananisha ?
 
Unayajua maeneo hayo vizuri?
Kina Mabumo walikuwa Maryland wanakunywa, kuna mtu akaja anapiga kelele kuwa kaona maiti, ila anadhani marehemu ni mfanyakazi wa ITV.
Ndipo Mabumo na watu wengine pale bar wakainuka na wakaenda kumtambua
...Na Pengine Uchunguzi uanzie hapo hapo.
Kwa mini atupwe Bar ya Maryland na sio mahali pengine popote?

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Katika kazi sizipendi naziogopa zenye hatari ya kupoteza maisha bila Mungu kupenda ni

1.Usalama (polisi na wanajeshi)
2.Uandishi wa Habari
3.Udereva (wa aina yeyote ile iwe ndege/meli/rocket,nk)

Hizi sekta 3 hizi Mungu apende asipende wanadamu wanaweza amua yao wakafanya kweli.
Kila tukio linalotokea duniani lazima Mungu awe amependa.
Umesahau kwenye misiba watu husema: " Tulimpenda, Mungu kampenda zaidi" !!
 
View attachment 1736697
Jeshi la Polisi mkoa wa Kipolisi Kinondoni limethibitisha kutupwa kwa mwili wa aliyekuwa mwandishi wa habari ITV/Radio one Blandina Sembu katika eneo la njia panda ya ITV na watu wasiojulikana waliokuwa wakitumia gari aina ya Noah.
. ..Mbona kama tayari Walinzi wetu wa Usalama wameishaanza kujichanganya?

Ripoti moja inasema Mwili umetupwa njiapanda ya ITV, na nyingine inasema mbele ya Bar ya HappyLand?? Vipi ni Lipi, haya ni maeneo mawili tofauri hapo hapo karibu karibu na yanaangaliana???

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
View attachment 1736697
Jeshi la Polisi mkoa wa Kipolisi Kinondoni limethibitisha kutupwa kwa mwili wa aliyekuwa mwandishi wa habari ITV/Radio one Blandina Sembu katika eneo la njia panda ya ITV na watu wasiojulikana waliokuwa wakitumia gari aina ya Noah.
Ila sura ya Dada blandina mmmmmmh!!..
Hakua afisa kipenyo kweli..
Tuanzieni hapo..
 
kama angejuwepo leo kuna watu wangesema yeye ndio amepanga.

now yeye hayupo sijui watamlaumu nani?
 
Back
Top Bottom