Heshimu Maoni ya Wenzako kama ambavyo yako yanaheshimiwa. You must be a Psychopath Case nakushauri wahi Hospitali ukatibiwe kabla hali haijawa mbaya Kwako. Zingatia sana huu Ushauri wangu tafadhali.Mods piga ban huyu chawa wa huyo mange anatuletea ujinga hapa kwanza ni New member huyu.
kama ni umbea ameanza siku nyingi, mbona hajasakamwa? mifaano yote umetoa bado hujagusia hili lililosababisha hata mambo yafike kwa pilato.Acheni ujinga kujidai malaika, huyo Mange anahabarisha tu, kama habari ni mbaya isisemwe? huyo mange ni mbea lazima atoe habari za kimbea, na zote ni habari, unataka maadili gani kwenye umbea? kama umefumaniwa itaandikwa CHANCE NDOTO afumaniwa, aogipe kutoa habari kisa maadili mbona mnavofanya ujinga hamkumbuki kua ni maadili? ukiangalia hapa wengi wanaopondea ile App ni wale wanaojua wana makandokando yao huko wanajua ipo siku watafikiwa, hivo wana shout hapa iki ifungiwe wawe safe. Nasemaje App iendelee hadi wajinga wote wanyooke, wana cheat ovyo, wanaotoka.nnje ya ndoa, wanaojjidhalilisha yani wote acha waandikwe.
Sent from my vivo X6D using JamiiForums mobile app
Wenye Ubongo mzuri tunakuelewa sana Mkuu na tunazielewa mno Hoja zako tofauti na Fools wengi Wasiokuelewa na Wanaokushambulia.Watu waongelee hilo sasa, pia kwa example ya lemutuz, kumbuka walikua na ugomvi and you canmot choose silaha soft ya kumpigia adui, you take the one which hurts the most. Hata hiyo ya prof J, still haikua iwe big deal like how you guys preaching here. Picha za watu kulazwa ICU mbona ziko nyingi hata watu hupost za ndugu zao ili watu wamuombee mgonjwa, how comes iwe big deal? angekua amepost video ya mgonjwa hajavaa nguo ingemake sense, ama angeandika madharau kwa mgonjwa hapo sawa, ila video tu watu.mnang'aka kama ameua, mnazidiwa bwana sio kweli.
Sent from my vivo X6D using JamiiForums mobile app
Hujui ishu ya privacy and confidentiality kwa wagonjwa wawapo hospitalini..?Me niambieni ni uhalifu gani amefanya? au siku hizi difinition ya uhalifu imechange?
Sent from my vivo X6D using JamiiForums mobile app
Kwa kuzingatia maoni ya wengi katika uzi huu ni kama vile wewe ndo FOOL.Wenye Ubongo mzuri tunakuelewa sana Mkuu na tunazielewa mno Hoja zako tofauti na Fools wengi Wasiokuelewa na Wanaokushambulia.
NakaziaNakazia kwa lugha nyingine, mwanaume unawezaje kusimama mahali kujitambulisha kuwa wewe ni mfanyakazi wa Mange
🚮🚮Acheni ujinga kujidai malaika, huyo Mange anahabarisha tu, kama habari ni mbaya isisemwe? huyo mange ni mbea lazima atoe habari za kimbea, na zote ni habari, unataka maadili gani kwenye umbea? kama umefumaniwa itaandikwa CHANCE NDOTO afumaniwa, aogipe kutoa habari kisa maadili mbona mnavofanya ujinga hamkumbuki kua ni maadili? ukiangalia hapa wengi wanaopondea ile App ni wale wanaojua wana makandokando yao huko wanajua ipo siku watafikiwa, hivo wana shout hapa iki ifungiwe wawe safe. Nasemaje App iendelee hadi wajinga wote wanyooke, wana cheat ovyo, wanaotoka.nnje ya ndoa, wanaojjidhalilisha yani wote acha waandikwe.
Sent from my vivo X6D using JamiiForums mobile app
Hivi unajua nini maana ya "haki ya faragha "? Msipende kuchukulia vitu poa, ujinga huo angeufanya huko US lazima angesimama kwa Pilato.Watu waongelee hilo sasa, pia kwa example ya lemutuz, kumbuka walikua na ugomvi and you canmot choose silaha soft ya kumpigia adui, you take the one which hurts the most. Hata hiyo ya prof J, still haikua iwe big deal like how you guys preaching here. Picha za watu kulazwa ICU mbona ziko nyingi hata watu hupost za ndugu zao ili watu wamuombee mgonjwa, how comes iwe big deal? angekua amepost video ya mgonjwa hajavaa nguo ingemake sense, ama angeandika madharau kwa mgonjwa hapo sawa, ila video tu watu.mnang'aka kama ameua, mnazidiwa bwana sio kweli.
Sent from my vivo X6D using JamiiForums mobile app
Rudi darasan.....maana inaonesha mwalimu wako alipoishia kwenye tense na we ukaishia hapohapoEnglish imepigwa na Kitu kizito!!
wana group lao telegram Mange kimambi App utawakuta wengi tuHivi kuna wanaume kabisa wana app ya Mange kwenye simu?
Anasema hamjui, halafu anasema anajua si doctor, si nesi na si mfanyakazi, then kumbe anamjua basi..., hao wafanyakazi walifahamu kabisa wanafanya kazi chini ya mhalifu, ila bado wakaendelea.., sasa iwe fundisho..Ofisi za Mange zilizopo Kinondoni jijini Dar zimevamiwa na wafanyakazi wake kukamatwa.
Kweli kujipendekeza hakulipi.