Full Blood Picture
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 2,223
- 3,961
Du! Mwananchi hawajakubali kwamba aliyewawa ni Jambazi ndo maana wanasema polisi wanadai ni jambazi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana nimeandika "ilimradi wawe majambazi kweli"Unawaamini polisi wa Tanzania wewe? Kwangu mie Ni majambazi yenye uniform
wale siku zote hulala upande wa kuichafua serikali na nchi yetu kwa kivuli cha uhuru wa vyombo vya habariDu! Mwananchi hawajakubali kwamba aliyewawa ni Jambazi ndo maana wanasema polisi wanadai ni jambazi.
Mwananchi wametumia kanuni ya uandishi habari kisahihi. Hayo ni madai ya polisi na hakuwa amepelekwa mahakamani. Kuna visa vingi tu walishaua watu na polisi wakadai ni majambazi ila baadae ikajulikana siyo.Du! Mwananchi hawajakubali kwamba aliyewawa ni Jambazi ndo maana wanasema polisi wanadai ni jambazi.
Sasa Polisi si waseme ukweli?,kila jambazi akifa kwa kupigwa risasi alipigwa mguuni?...
Au kazingua kupeleka hisabati.Ukiona mpk jambazi anauliwa basi polisi wamemchoka
Ova
Mkuu ina maana tabora ndoa kwenye chimbuko la majambazi?Enzi za gewe kulikuwa na jambaz alikuwa anasumbua sana alikuwa anafamika
Dar break....jamaa alitisha ila gewe alipokuwa rpc dsm,alideal naye vilivyo
Majambaz wa sahv wako kama wadokozi
Zamani jambaz linatoka tabora huko jitu katili
Roho kwatu
Ova
Zamani wazee wengi wa kazi asili yao ilikuwa taborMkuu ina maana tabora ndoa kwenye chimbuko la majambazi?
Kuna polisi wazuri na polisi wabayaUnawaamini polisi wa Tanzania wewe? Kwangu mie Ni majambazi yenye uniform
Hahahaha tutake radhi mkuu tengua kauliZamani wazee wengi wa kazi asili yao ilikuwa tabor
Ova
Itakuwa mambo ya magazijuto yalizinguaAu kazingua kupeleka hisabati.
Hili ni kweli, nimelisikia mara nying kwamba maskani ya majambazi wengi hukaa kuanzia pugu na kuendelea huko mbele.Wana majumba mazuri sana karibu na misitu huko Kazimzumbwi,fence kubwa.cctv nkMAJAMBAZI MENGI HUPENDA KUJIFICHA PEMBENI MWA MIJI,CHANIKA,MBEZI,MKURANGA NA N.K.
Wezi wa kwenye treni wale wakuiba mizigoHahahaha tutake radhi mkuu tengua kauli
Sikupingi kiongozi,tangu ile tani 1,igeuzwe na kuwa gm 500,halafu mpaka ss kimya.ndo Sasa nimeamini watu wa ngada ni kipimo Cha rechter , sio masihara.Hili ni kina kirefu tudili kwanza na hawa vibaka