King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Na ndio hawa wanawaingilia majumbani hasa kwenye makazi mapyaMAJAMBAZI MENGI HUPENDA KUJIFICHA PEMBENI MWA MIJI,CHANIKA,MBEZI,MKURANGA NA N.K.
Huyo mrangi ni CID pale urafikiKwamba unawajua si bure utakuwa mmoja wao maana hata kwenye mada za madawa upo vizuri kwenye ufafanuzi wauza madawa wote wa Dar unawajua.
Nishamfaham uyo mtuWakuu huko kijijin nilikokulia, kuna kisa kimoja cha jamaa jambazi. Naogopa kukiweka humu kwa sababu 2.
1 Nikisimulia kama kisa kilivyo watu wanaweza kunijua. Labda nitumie codes.
2 Naamini wengi watadhani ni stori ya kutunga (chai)
Kwa ufupi ni hivi, huyu jamaa alikuwa mshirikina hatari alikuwa na machale ya ajabu sana. Ukimwendea kiroho safi unamkuta tu vzr, ukiwa na nia mbaya anapotea kimiuijiza.
Yule mjinga, alisumbua sana zaidi ya mwaka Polisi wanahaha huku na kule. Amini usiamini..Ili polisi wamkamate libidi washirikiane na wazeee waingie kwenye ushirikina.
walichokifanya kwanza waliua machale yake. Siku ya kumkamata walimkuta bar akila maisha na crew yake. Walipofika wakamchapa na lile jani la mgomba la kati kati (lile changa ambalo bado limejikunja) halafu wakamvisha (wakapitisha) kichwani underskirt. Hapo hakuwa na ujanja wowote. Alikamatwa kama kuku. Yule jamaa alipata taabu sana...yaan aliteswa zaidi ya Yesu. Wiki nzima yupo kituoni ni kichapo..kichapo kipondo. Baadae walimmaliza hata hawakupeleka mahakamani. Mpaka wanamuua, alikuwa hana baadhi ya viungo vya mwili. vidole, masikio, minofu ya baadhi ya maeneo ya mwili n.k maana alikuwa anakatwa analazimishwa kula nyama zake.
Mpaka anakamatwa alikuwa ameua watu wengi sana huyu mwamba.
Hapo ni 1990s to less than 2001
ndiyoKwahiyo unakubaliana na polisi kuwa viongozi wakuu wa CHADEMA ndo walimuua Akwelina?
Ulikuwa na shingapi kwani?Jana wakati natoka kazini kuna jamaa mmoja alinitazama kwa roho mbaya sana akiwa na sura mbaya sana kidogo Akili ilichangamka lakini nilijiharakisha kwa kuchukua boda haraka.
Madawa? ThubutuuTunategemea pia msako wa wauza madawa ya kulevya unaendelea, sisi wananchi tumejitolea kuwafichua wale wote.
Kimsingi hakuna tofauti kati ya Wauza madawa ya kulevya na Majambazi
Nipo Tabora,nadhani huku kuna chuo cha majambazi na vibaka,wanaiba mpaka mavi yaliofungwaMkuu ina maana tabora ndoa kwenye chimbuko la majambazi?
Hiyo n kwel majambaz wengi n wachawi knoma ili wamdake na wao huwa wanaenda kwa wagangaWakuu huko kijijin nilikokulia, kuna kisa kimoja cha jamaa jambazi. Naogopa kukiweka humu kwa sababu 2.
1 Nikisimulia kama kisa kilivyo watu wanaweza kunijua. Labda nitumie codes.
2 Naamini wengi watadhani ni stori ya kutunga (chai)
Kwa ufupi ni hivi, huyu jamaa alikuwa mshirikina hatari alikuwa na machale ya ajabu sana. Ukimwendea kiroho safi unamkuta tu vzr, ukiwa na nia mbaya anapotea kimiuijiza.
Yule mjinga, alisumbua sana zaidi ya mwaka Polisi wanahaha huku na kule. Amini usiamini..Ili polisi wamkamate libidi washirikiane na wazeee waingie kwenye ushirikina.
walichokifanya kwanza waliua machale yake. Siku ya kumkamata walimkuta bar akila maisha na crew yake. Walipofika wakamchapa na lile jani la mgomba la kati kati (lile changa ambalo bado limejikunja) halafu wakamvisha (wakapitisha) kichwani underskirt. Hapo hakuwa na ujanja wowote. Alikamatwa kama kuku. Yule jamaa alipata taabu sana...yaan aliteswa zaidi ya Yesu. Wiki nzima yupo kituoni ni kichapo..kichapo kipondo. Baadae walimmaliza hata hawakupeleka mahakamani. Mpaka wanamuua, alikuwa hana baadhi ya viungo vya mwili. vidole, masikio, minofu ya baadhi ya maeneo ya mwili n.k maana alikuwa anakatwa analazimishwa kula nyama zake.
Mpaka anakamatwa alikuwa ameua watu wengi sana huyu mwamba.
Hapo ni 1990s to less than 2001
Ndio maaana tuna kikosi maalum cha kupambana na wauza madawa na pia uzuri ni kwamba vita ya kupambana na wauza madawa ya kulevya inawashirikisha vyombo vyote vya ulinzi na usalama, naamini endapo tutashirikiana basi wauza madawa ya kulevya nchini Tanzania hawawezi kuwa na guvu zaidi ya Serikali.Hivi vita vya madawa si kama vya majambazi. Akili kubwa sana inahitajika maana watengenezaji wake wana nguvu za dola za kidunia, wafanyabiashara wake wana nguvu za dola za kimataifa, ukikaa vibaya unaishia kukamata dagaa tu. China pamoja na kunyonga wasafirishaji bado watu wanapitisha.
wewe jidanganye, kwa sasa usijaribu kina maji hata kidgo! kama una ndugu, jamaa au rafiki mkataze mara moja, moto ulio washwa awamu hii ni hatari sana.ndo imeshindikana sasa.ile tani 1,ilikuwaje ikaripotiwa gm 500!?
Wafanywe hivo hivo, ilimradi wawe majambazi kweli....
usiishie tu kutaja maeneo ni vizuri pia ukafichua majina ya Majambazi ktk eneo lako kupitia namba ya kamanda husika wa mkoa wako.MAJAMBAZI MENGI HUPENDA KUJIFICHA PEMBENI MWA MIJI,CHANIKA,MBEZI,MKURANGA NA N.K.
Jaribu, kuuza au kusafirisha halafu utaona kitakacho kupata. au hata kama unarekodi za kujihusisha na uuzaji wa madawa ya kulevya au usafirishaji...hubaki mwaka huu.Madawa? Thubutuu
Hizi ndo habari napendaga kuzisikia,sio zile za polisi wakamata majambazi.Jambazi unamkamata ili iweje!
Lesson 101: kwenye ujasusi...Jina la mtu liki appear zaid ya mara5 kituoni kwa tuhuma za wizi/ujambazi...dawa ni Moja tu Isolate him/her to hellTermination = permanent cure for a troublesome to the society.
Isolated from the society to hell.
Good job jeshi la polisi if the deceased was really bandit!!
-Kaveli-
Safi tu mwizi sio wa kumuachia coz kwenye kuiba kwao sometimes huwaga wanaua piaJuzi nasikia mitaa ya studio upande wa kama unaelekea moroco,watu wameua jambazi/mwizi
Alivamia nyumba huko issue ikabuma
Watu biashara wamemaliza pale pale
Ova
Tatizo wauza madawa ya kulevya sio watu wachovu, ni watu wakubwa na wenye heshima kubwa kwenye jamii yetu. Yaani hata wakitajwa watu mtashika midomo kwa mshangao na kwasababu wanaheshimika sana hamta amini kama kweli ni wauza madawa badala yake mtaanza kuwatetea na kisha kumshambulia yule aliye wataja kuwa ndio mtu mbaya.siamini kama kuna kina kirefu kuliko cha serikali?
wauza madawa ya kulevya ni majambazi hatari sana.....tuwafichue wote.