Dar: Polisi yazima maandamano, yakiri kumshikiliwa Sheikh Ponda kwa mahojiano

Maandamano ya kuunga mkono Palestina yakiruhusiwa, kumbuka kuna wengine wanaunga mkono Israel, sasa hii nchi patakuwa hapatoshi, Polisi wasiruhusu kabisa hiyo habari!
 
Maandamano ya kuunga mkono Palestina yakiruhusiwa, kumbuka kuna wengine wanaunga mkono Israel, sasa hii nchi patakuwa hapatoshi, Polisi wasiruhusu kabisa hiyo habari!
Wakiristo mlivyokuwa woga wa kufa. Kama si waislam uhuru wa Tanganyika ungalipatikana 2023 labda
 
Maandamano ya kuunga mkono Palestina yakiruhusiwa, kumbuka kuna wengine wanaunga mkono Israel, sasa hii nchi patakuwa hapatoshi, Polisi wasiruhusu kabisa hiyo habari!
Badala ya kuandama kushinikiza wabadhirifu wa kodi zetu wabananishwe wanaandamana kwa mambo yasiyotuhusu. Huu ni upumbavu
 
Kumbe mwamba anafakamia huyo mdudu..
Lakini, hawa msile katika wale wenye kucheua, na hao waliopasuliwa ukwato; ngamia, na sungura, na kwang'a, kwa kuwa hucheua, lakini hawakupasuliwa kwato, ni najisi kwenu;
8 na nguruwe, kwa kuwa amepasuliwa ukwato lakini hacheui, huyu ni najisi kwenu msile nyama zao, wala mizoga yao msiiguse.
Bible
 
Mbona wewe unakula na gongo unakunywa? Wacha unafiq
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…