Dar: Sakata la Polisi kuuana wenyewe nje ya benki laacha sintofahamu

kitendo cha mjeda kushika silaha ya yule polisi pale ndo alipo kosea yeye angetulia jamaa angekausha kwani marangapi tunanyooshewa silaha lakini ukitulia wanakausha na kukuweka pembeni.. mda mwingine ujuaji ndo unaoharibu
 
Zwazwa basha wako choko wewe uliyeolewa na police.Police mnalugha chafu sana
[emoji3][emoji3][emoji3]
Kk mkubwa kumbe we mjeshi
Vipi ile nafasi ya polisi ulioniomba kwaajili ya mdogo wako bado waitaka! Bi mdashi kanitel zinakaribia kutoka.
 
Nadhani hujaelewa, hao wawekaji wamemkuta anatoa pesa. Ingekuwa busara kumwambia maliza kutoa pesa na kadi yako usogee tuweke pesa basi!
hauna akili pia... ni pumba tu unaandika hapo...
 
Haya matumizi holela ya silaha yanaligharimu sana hili taifa.
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] matumizi holela unayajua wewe au umeandika tu uonekane kama umecomment..
 
Kutii amri kuna style tofauti kwa mfano:
"Wewe toka hapo ilo sio eneo la kusimama"
Na.
Habari yako ! Hapa haparuhusiwi kusimama ni eneo la benk.
Hapo wewe unatii ipi mkuu ?
hao ni polisi hawajasoma customer care.... wao wanajua Amri tuu.. nakumbuka nilisimama bank kama nusu saa hv namsubr mtu atoke asee kilicho nikuta...
 
Ustaarabu ni muhimu katika kazi. Raia wa kawaida tu, hapendi kupewa amri pasipo na ulazima, sasa wamekutana wenyewe kwa wenyewe, Kumbe nao pia haiwapendezi.
Kitu ambacho sielewi kwa WaTz sijui ni wapi tumekosea na hatuna ustaarabu. Kwani angetoa tangazo la 'tafadhali tupeni nafasi tuna shughuli, haitachukua muda na mtaendelea na shughuli zenu' ingeathiri nini?
 
sasa awa maaskari wasiojuwa kupiga hata risasi wanauna wao kwa wao ....ndo wanasema wanawexa kuzuia mafuriko ya tarh 26
hehehe kuna magari mapya 570 ya maji washa ambayo tangu yanunuliwe 2015 hayajawahi tumika.. licha yahvo kuna mabomu ya moshi pakage zisizo na idadi... bado virungu na risasi za mpira .. tukutane taree 27 baada ya maandamano..
 
We ndio mbumbumbu kabisa umeandika upuuzi mtupu
 
[emoji28] [emoji1] tena kipigo ya wanajeshi .. wewe mwenyewe utatamani upigwe na polisi asee...
 
Shahidi amesema baada ya kulengwa na bunduki huku huyo mbwiga akimkaribia yeye aliishika akanyanyua juu mtutu,
Ni kosa kubwa kumuelekezea MTU mtutu,
Anayetaka kunyanganya anafuatwa na mnyanganywaji kuwa nimekuja ninyanganye au ye ndio angemfuata huyo bwege? Walioshuhudia watatoa ushahidi na tupate citation ya sheria inayosema PESA zikiwa zinawekwa ktk ATM mtu hatakiwi kuwepo pale sio porojo tu
 
Mwanajeshi hapigwi hovyo kama unavyowaza wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…