Dar: Serikali yalifunga Kanisa la Nabii Suguye

Imani si suala la ujumla mpaka ulazimishe watu wa Makanisa fulani wasimamie wenzao wakati imani zao haziendani.

Ndo maana Serikali yenyewe INASAJILI Makanisa na Madhehebu kwa vigezo vyake, huwezi kuwapa Makanisa fulani nguvu juu ya wengine huku tukisema kuwa Serikali yetu haina DINI wala DHEHEBU.

Leo hii kuna waoamini kwenye Mafuta, Maji, Vitambaa, Zabibu... Wengine imani yao hairuhusu kudungwa sindano hata kama wanakiona kifo.. Sasa kwa huu mvurugano yupi utampa MAMLAKA juu ya wengine.
 
Yaan ukiwa na matatzo kila jambo utafanya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…