kibobori mahoro
JF-Expert Member
- Dec 12, 2022
- 7,452
- 10,785
huyu kn baadhi ya vifaa vya tv na redio,nilimuuzia
Imani si suala la ujumla mpaka ulazimishe watu wa Makanisa fulani wasimamie wenzao wakati imani zao haziendani.Serikali inakosea sana kutoa vibali vya kufungua makanisa,,ninaona ni bora iwe inashirikiana na taasisi zote za kikristo kusajili au kutoa kibali chochote e,g Tec,na umoja wa makanisa ya kipentekoste,,kwa sababu kuna makanisa mengi sana ya kihuni yanaanzishwa..Lazima kuandaliwe vigezo hata 100 vya kulisajili kanisa ili kuepukana na makanisa fake yenye mafundisho fake na maombi fake..Na hivyo vigezo viwe ni mchanganyiko vya umoja wa makanisa na serikali. La sivyo mpaka waganga wa kienyeji watafungua makanisa....Huyo suguye anajiita eti chief prophet,,sijui alipatia wapi hicho cheo cha kujimwambafy,,,lazima kuwe na filter makini dhidi ya makanisa mapya,,, siku hizi hadi watu wachafu kama lgbt nao husajili makanisa yao ya geresha na haramu lazima kuwe na mchujo ili wasije nao tukawaona Tanzania
Kwani Qnet hawana usajili?Matapeli wanaosajiliwa na serikali?
Yaan ukiwa na matatzo kila jambo utafanyaKanisa la WRM linaloongozwa na nabii Suguye, limezuiwa kuendelea kutoa huduma za kiroho mpaka litakapokamilisha hatua za usajili.
Hayo yanakuja siku chache kabla ya nabii Suguye kuwaagiza waumini kwenda na nywele za utosini ili kuwakinga na maadui zao.
Kanisa hilo lililopo kivule,matembele ya pili limejizolea umaarufu na baadhi ya waumini wake ni Mh Mwita Waitara.
Una maoni yoyote kuhusu hili na makanisa ya kinabii kwa ujumla?
Source :Mwananchi
Na wanaobusu sanamu inasemaje?"Nywele za utosini"
Sasa huyu anatofauti gani na waganga wa kienyeji au washirikina?
Mwenzake si ndiyo yule mnamuita Geo devieNi nabii,, mtu mmoja mcheshi sana, mtu wa watu,, kama una shida yeyote iwe ni ya kifedha, kiafya, unataka gari, nyumba,, mwone huyo nabii😄
Ndiyo,, hawa jamaa wamebarikiwa sana aseeMwenzake si ndiyo yule mnamuita Geo devie
Wanao tena wa serikali. Labda hao wanakiuka masherti usajiliKwani Qnet hawana usajili?
Na misikitiNaomba serikali ichukuwe mfano wa Kagame kuhusu makanisa.
Kwahiyo kumbe usajili sio kinga wa kutapeliwa na taasisi husika yenye usajiliWanao tena wa serikali. Labda hao wanakiuka masherti usajili
Hawasajiliwi kama matapeli. Ni kama wewe unavyoajiliwa halafi inafika mahala unapewa summary dismissal kwa kufanya makosa. Hukuajiliwa ili ufukuzwe..!!!Kwahiyo kumbe usajili sio kinga wa kutapeliwa na taasisi husika yenye usajili