Dar: Serikali yalifunga Kanisa la Nabii Suguye


Siku ukiwajua hao nanabii na miujiza yao utashangaa San. Unatupiwa kitu wanakitoa wenyewe.
 
Mfano wa Kagame, anaetaka kuanzisha kanisa ni lazima awe na degree ya Theology kutoka chuo kinachotambulika na serikali. Nami niongezee, awe na degree ya falsafa kutoka chuo kinachojulikana.
Injili haiendi hivyo.Mungu haitaji chuo,umuinua yeyeto amtakae.
Kagame ni mpita njia hatoishi milele, lakini dini uishi milele
 
Hapa kuna hujuma za kiroho na siyo huduma. Hawa ni matapeli na wavivu wa kutafuta wanaowatia wajinga na wapumbavu wetu wengi waliokata tamaa ujinga na umaskini. Heri lingebomolewa akauze nyanya.
 
Bado mzee wa upako.yaani saa hivi ni mwendo wa kuwasambarisha matapeli walijificha nyuma ya dini huko kuna maharamia kibao wa nchi jirani wanajifanya walikole/wachungaji
 
Tuwe wabia mkuu,
natoa eneo, na nakua mweka hazina wa kanisa
wewe uwe mtumishi.

Karibu sana tutafute watu wa kuigiza wana mapepo kama watano tu af sisi tukafungue kigamboni kule au ilala
 
cha kushangaza wanajifanya welevu sana, kumbe ni matahira

Shemeji yangu humuambi kitu kuhus Mwamposa kipindi yupo mjamzito alikuwa anaenda kila siku asubuhi alikuwa anasema kuna clinic yao huko kwa Mwamposa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…