Dar: Serikali yalifunga Kanisa la Nabii Suguye

Mimi hapa kuna jiran ana sherehe kapig mziki mpak saa sita nimemfwata nimemuambia tunatak kulala amepunguza sasa
Hivi wizara ya afya na mental problems jumlisha wizara ya mazingira wao wanajua kuandikiana posho na visemina vya hapa na pale ili tu wapate perdiem Ila kuwalinda watu a mabosi wao tuliowapatia kazi hawajui kabisa wamejisahau kwa kulewaa madaraka tuliyowapatia
 
Mimi nashindwa kuelewa kuna watu kutoka Nigeria na DRC wanakuja kufungua makanisa hapa nchini, serikali ipo kimya tu. Hii nchi kila mgeni anakuja anavuna anaondoka. Kuna makanisa ya mbavu za mbwa huko Kivule na Ukonga yanasimamiwa na kuendeshwa na Wakongo.
 

[emoji23][emoji23][emoji23] wapo bize kutembea mikoani
 
Nami nasisitiza wapitiwe wote hao mwamposa,musa,sila mtui na wengine wanapiga hela ambazo hatahawalipi kodi wanakusanya mahela kwa usanii tu.
 
Wasiishie kufunga hilo yako mengi sana ambayo ni kero kwenye jamii

Tatizo nchi yetu viongozi wake wanapenda pesa sana uyo suguye akiwapa sadaka ya siku moja tu anafunguliwa
 
Nami nasisitiza wapitiwe wote hao mwamposa,musa,sila mtui na wengine wanapiga hela ambazo hatahawalipi kodi wanakusanya mahela kwa usanii tu.

Hapo utakuta wezake wamemchomesha kati yao hili wachukue wafuasi wake
 

Huo ni ushirikina wa wazi wazi.
Wasirikina wameanza kujidai wanahubiri Neno kumbe wametumwa na Ibilisi ili wapate wafuasi wengi.
 
Katika ukristo kuna Roman catholic,,Protestant yenye madhehebu yaliojiengua roma e.g kkkt,moravian na anglican,,,na upande wa pili wa protestant kuna Pentecoste church e.g FPCT,TAG,,PAG nk nk na part ya mwisho ni JW,,mormon na Watakatifu wa siku za mwisho. Kwa hio wa mafuta chumvi na maji anaweza kuwa regulated na kuwa filtered na Pentecostal Church na hao Pentecostal church wanaweza kushirikiana na madhehebu mengine wakaja na utaratibu mmoja ulio rasmi.Kwa sababu kinachofanya makanisa yanakuwa mengi na mengine yenye walakini ni kukosa filter na utaratibu.Sasa hata wewe unaweza ukasuggest utaratibu uweje.
 
Mawazo ya kidikteta, hakuna mtu au taasisi yenye hatimiliki na dini. Nani kakuambia TEC au umoja wa makanisa ya kipentekoste ndio n.k ndio vipimo sahihi vya dini ya Kikristo ?
Hata Mungu hana demokrasia maana yeye ni mfalme,,,demokrasia ndio imeshaprove failure kwenye kusajili makanisa.Katika waisraeli maelfu kwa mamia waliotoka misri ni wawili tu waliofika kaanani japo hao waliofia njiani watoto wao ndio walioingia nchi ya ahadi...Na hata kuingia mbinguni kuna mchujo tena mkali wachungaji,,mitume ,,mapadre na makasisi wengi sana watafeli na hawataingia mbinguni..Na hizi nchi za weusi kama mimi usitegemee demokrasia kutuletea matokeo chanya..
 
Umeeleza vizuri kabisa Makanisa yetu yalivyo,,, but swala la imani litabaki kuwa la mtu binafsi unless kuna madhara ya wazi ya kiafya ndani au nje ya mwili pengine ndiyo vyombo vya Serikali viingilie, mfano yule jamaa wa SA aliyekuwa analisha waumini wake PANYA wazima..

Au mfano mtu na akili yake timamu kabisa anakubali kucharazwa fimbo na nabii.... au Binti/Mwanamke anapigwa busu la upako au anaogeshwa na anakubali, sasa hapo utamlaumu nani?
Kwake yeye ni tendo la Imani na huwezi kumkatalia maana ndo maono aliyopewa 😆😆

Kwasababu hata hao SDA, MOROVIAN, KKKT, CATHOLIC, JW, TAG, KPLT, FPCT na mengine yalianzishwa kwa maono ya watu binafsi..

BADO NASEMA IMANI NI SWALA LA MTU BINAFSI, HUWEZI KUKATAA MAONO YA MWINGINE MAANA HATA NA WEWE YAKO HAKUNA MWENYE USHAHIDI NAYO.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…