DAR: Sheikh wa Mkoa, Mussa Alhad atangaza mwisho wa Mange Kimambi kutukana, kushughulika na JamiiForums kisheria

kwa tafsiri ya vile sheikh alisema, ni Kama shekh ndo mshindi, kwasababu alisema atahakikisha hatatukana tena na ukiangalia ni kweli kwamba mange ameacha kabisa kushambulia watu Kama zamani
Huyu ni sheikh uchwara tu alimuombea mwenzie mabaya na kaumbuka

Uchwara: "...sababu amejihalalishia mwenyewe maangamizi kwa mkono wake."

Sasa maangamizi gani kayapata

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pengo = Alhad sulum

Hawa watu hawana tofauti kabisaaa

Ukitaka kuwaona wewe pambana na ccm ..... Daaa hawana aibu wanavoipigania ccm
 
Huyu sheikh ni matak.o sana na vile anatoa matak.o ndio maana dua yake mbaya kwa Mange imegeuka neema kwa Mange amepata danga la kizungu tajiri ameshanunuliwa gari
 
Na kweli Mange ameacha kutukana
 
Watu wana akili fupi mno humu,shehe hakusema mange atakufa,alisema mwaka huu ndo mwisho wa kutukana,swali mange anatukana au ameacha kutukana?
 
Watu wana akili fupi mno humu,shehe hakusema mange atakufa,alisema mwaka huu ndo mwisho wa kutukana,swali mange anatukana au ameacha kutukana?

Huwezi mtetea shekhe!

Askofu Pengo

Shekhe Alhad

Ni viongozi maarufu wakisiasa kwenye miambali ya makanisa na misikiti respectively

Huwezi kuwasikia wakipambana na matendo maovu ya ccm. Wao hupambana navitu vyakijingajinga Taifa likiangamizwa na ccm

Hawa watu Wa hovyo kwa kuwa na msimamo ya hovyo.

Mange ninani hata ajishrbeduwe kupambana naye? Same tu pengo kila uchao hutoa matamko yakijingajinga tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…