Zingekuwa na nguvu wangedhurika wanajeshi wa marekani au waisrael kwa dhuluma wanazotenda middle east na Afghanistan,sifikirii na sidhani kama mange atadhurika
jambo la aibu sana kiongozi wa dini kumtamkia mfuasi ukomo kisa mna personal interest alitakiwa amsahihishe tu na kumsaidia kimawazo lakini suala la ukomo wa mtu hilo ni jambo la Mungu tena