Sisi wenye imani yetu tuacheni na imani yetu... huku pwani mtu akikupiga ugeuki nyuma... albadil ina kanuni zake katika kumsomea mtu... ndio maana watu wengi walikuwa na imani potofu kuwa waislamu wana majini, waislamu wachawi nk... ni kwa vile Qur'an ina mambo mengi... una weza jikinga na waovu una weza itumia kum'adhibu mtu vile vile...
ukichukulia hii dini ina toa mianya ya kuadhibu pale unapo enda kinyume... na ndipo hapa mahakama ya kadhi ilikuwa ina pigiwa kelele... ndipo hapa chuo kikuu cha kiislamu morogoro kime chukua hatua zidi ya uovu wa wanafunzi ktk kulinda maadhili ya chuo na dini kwa ujumla....
ukitka kuisoma pia una takiwa kutoa taadhari kwa muusika kuwa ahache kile ambacho unaisi wewe amekitenda kibaya na una kusudio la kutoa adhabu pale atakapo endele kukaidi... na notisi huwa ya siku saba... ukiona kimya basi una endelea na kusudio lako la kumsomea kisomo...
kisomo chenyewe ukisomewa ni hatari mno... una weza kuwa chizi wa maisha nk...!
tahadhari:
tuwe tuna heshimiana, tusiwe wa kukorofishana na kujiona mungu mtu... hekima ni kitu kizuri... hakuna marefu yasiyo kuwa na ncha...
ngoja sheikh kipoozeo aje...