DAR: Sheikh wa Mkoa, Mussa Alhad atangaza mwisho wa Mange Kimambi kutukana, kushughulika na JamiiForums kisheria

DAR: Sheikh wa Mkoa, Mussa Alhad atangaza mwisho wa Mange Kimambi kutukana, kushughulika na JamiiForums kisheria

Kale kademu kameshanunuliwa, eti leo ndo kanajifanya eti kanajali kulinda maisha yake!, Kwani siku zote kalikuwa hakajui kuwa ni hatari kupambana na system?, Au kalifikiri mabadiriko yanaletwa kwa harakati za mwaka mmoja miwili tu?

Halafu kanajiona eti kalikuwa kakombozi, sijui kanadhani sasa ndo tumeshakombolewa?

Mpigania haki wa ukweli haachi kuipigania hata kama watu wote hawamuelewi. Kenyewe kameshapata Kiki basi kameridhika. Soon katakuwa irrelevant mtandaoni, na wote wenye akili waliodhani kanapigania haki kweli watakapuuza na katapoteza attention za watu!. The higher she has gone the lower she shall fall!.

Kamebaki kuposti Makalio ya Mobeto na kujibinuabinua makalio insta baasi!

Kanasafiria nyota ya Mobeto sasa hivi hakana ishu!
Duh!
Kali walahi
 
Kale kademu kameshanunuliwa, eti leo ndo kanajifanya eti kanajali kulinda maisha yake!, Kwani siku zote kalikuwa hakajui kuwa ni hatari kupambana na system?, Au kalifikiri mabadiriko yanaletwa kwa harakati za mwaka mmoja miwili tu?

Halafu kanajiona eti kalikuwa kakombozi, sijui kanadhani sasa ndo tumeshakombolewa?

Mpigania haki wa ukweli haachi kuipigania hata kama watu wote hawamuelewi. Kenyewe kameshapata Kiki basi kameridhika. Soon katakuwa irrelevant mtandaoni, na wote wenye akili waliodhani kanapigania haki kweli watakapuuza na katapoteza attention za watu!. The higher she has gone the lower she shall fall!.

Kamebaki kuposti Makalio ya Mobeto na kujibinuabinua makalio insta baasi!

Kanasafiria nyota ya Mobeto sasa hivi hakana ishu!
Kwa nn ww usipaliganie hyo haki? Nilichomuelewa ni kuwa watanzania ni wanafki sana, sidhani kama atakuja kurudia yale aliyoyafanya kwa kufuata upepo wa watanzania huko instagram
 
Kale kademu kameshanunuliwa, eti leo ndo kanajifanya eti kanajali kulinda maisha yake!, Kwani siku zote kalikuwa hakajui kuwa ni hatari kupambana na system?, Au kalifikiri mabadiriko yanaletwa kwa harakati za mwaka mmoja miwili tu?

Halafu kanajiona eti kalikuwa kakombozi, sijui kanadhani sasa ndo tumeshakombolewa?

Mpigania haki wa ukweli haachi kuipigania hata kama watu wote hawamuelewi. Kenyewe kameshapata Kiki basi kameridhika. Soon katakuwa irrelevant mtandaoni, na wote wenye akili waliodhani kanapigania haki kweli watakapuuza na katapoteza attention za watu!. The higher she has gone the lower she shall fall!.

Kamebaki kuposti Makalio ya Mobeto na kujibinuabinua makalio insta baasi!

Kanasafiria nyota ya Mobeto sasa hivi hakana ishu!
Mange kashapewa hela. Njaa tu inamsumbua.
 
Kwa nn ww usipaliganie hyo haki? Nilichomuelewa ni kuwa watanzania ni wanafki sana, sidhani kama atakuja kurudia yale aliyoyafanya kwa kufuata upepo wa watanzania huko instagram

Hakuna cha Watanzania kuwa wanafiki, ukiamua kupigania haki unapigania tu hata kama kuna mtu mmoja tu anakuunga mkono!. Maana wakati mwingine inabidi uokoe wasiojielewa na vizazi vyao.

Hoja eti kwa nini isiwe mimi ndo mpiganaji, the issue ni kwamba mtu ukishabeba dhana ya harakati na ukawa front huwezi kuja na excuse eti kwa nini wewe ndo uko mbele na wengine nyuma, hakuna aliyekwambia ukae mbele, lakini ukishakaa watu lazima wakuulize mbona ghafla unarudi nyuma huku ukitoa excuse za kijinga!. Wewe unadhani akina Bibi Titi wangegive up wakasarenda kisha wakapayuka kuwaambia raia kuwa njooni na nyinyi mkae front mpigwe na mkoloni ingekuwa sahihi, au watu wangewaelewa?. Kama unajua utaleta Excuse za oooh sijui mimi nimejitolea ooooh sijui na nyie njooni front basi hakuna haja ya kubeep!

Hilo swali lako halina tofauti na swali lilelile la baadhi ya watu waliokuwa wakimwambia kuwa kama unataka tuandamane basi na wewe njoo tuandamane wote!!. Sasa na kenyewe eti kanageuza kibao eti kwani ni lazima niongoze mimi harakati ongoza na wewe!!

Yeye mbona baada ya yale maandano kufeli alisema ameelewa sababu na halaumu mtu na kwamba atarudi August 1. Na kwamba anaenda kufanya research ya namna gani aje na mbinu nzuri zaidi. ilipofika muda huo kakaanza kukwepakwepa, kameishia kujibinuabinua tu huko insta. Kashukuru ujio wa Mobeto, kangekuwa kameshakuwa hopeless mbele ya waliodhani kapo for real!
 
Ishu ya wazir wa minerals na kichanga ilibidi Mange anunuliwe tuu na ndio sababu kubwa Mange kununuliwa. Na bila Mange hakuna yeyote angejua. Yani ni aibu kweli
Sky Eclat

Kanavyojishebedua mitandaoni kwa ishu zisizo na kichwa wala miguu kanaonyesha dhahiri kamepewa hela kakae kimya!

Na huyo Amisa Mobeto awe makini asimpe kila information kumhusu, hakachelewi baadae kuanza kumpaka na kumtukana mitandaoni kama kalivyofanya kwa rafiki zake wengine huko zamani.

Kanapenda sana attention na umaarufu, ukikaondolea hivyo vitu kanakuwa hopeless.
 
Kanavyojishebedua mitandaoni kwa ishu zisizo na kichwa wala miguu kanaonyesha dhahiri kamepewa hela kakae kimya!

Na huyo Amisa Mobeto awe makini asimpe kila information kumhusu, hakachelewi baadae kuanza kumpaka na kumtukana mitandaoni kama kalivyofanya kwa rafiki zake wengine huko zamani.

Kanapenda sana attention na umaarufu, ukikaondolea hivyo vitu kanakuwa hopeless.
Tuuache unafiki. Wewe mwenyewe hapo umejificha nyuma ya Keyboard unamshambulia Mange! Unadhani yeye hapendi maisha yaake

Mangapi makubwa yanatokea na mnaishia tu kuongea na kulia lia mitandaon. Mange yupo sahihi haijalish amelipwa au hajalipwa.
Labda niwaulize, Mambo yoote ambayo aliyaongea hapo kabla mmeyafanyia nini cha maana zaidi ya unafiki Tu.
 
Tarehe 1 Jan,2019 ni tarehe kwa mujibu wa kalenda ya kizungu labda sheikh aliongea kwa kalenda ya kiarabu!
 
Kale kademu kameshanunuliwa, eti leo ndo kanajifanya eti kanajali kulinda maisha yake!, Kwani siku zote kalikuwa hakajui kuwa ni hatari kupambana na system?, Au kalifikiri mabadiriko yanaletwa kwa harakati za mwaka mmoja miwili tu?

Halafu kanajiona eti kalikuwa kakombozi, sijui kanadhani sasa ndo tumeshakombolewa?

Mpigania haki wa ukweli haachi kuipigania hata kama watu wote hawamuelewi. Kenyewe kameshapata Kiki basi kameridhika. Soon katakuwa irrelevant mtandaoni, na wote wenye akili waliodhani kanapigania haki kweli watakapuuza na katapoteza attention za watu!. The higher she has gone the lower she shall fall!.

Kamebaki kuposti Makalio ya Mobeto na kujibinuabinua makalio insta baasi!

Kanasafiria nyota ya Mobeto sasa hivi hakana ishu!
Ccm inapowaambia chadema ni nyumbu huwa iko sahihi
 
Ila Watanzania bana, si bora mngemshukuru kwa walau kupambana almost 3 years tena mtoto wa kike na walau kutoa upinzani kuliko vyama vyote vya siasa kwa pamoja! Leo mnaanza kampeni kumtibua badala walau kukaa kimya kwa heshima ya aliyofanya. Awe amepewa pesa au hajapewa lakini ni vizuri makamanda kujadili bila kejeli kama tulivyowaonya mlipoanza kumchafua Dr Slaa. Askari anapoanguka vitani jifunzeni kusonga mbele badala ya kuanza kumzodoa.
 
Sheikh Alhad mzee wa Amber Ruth
1542626451749.png
1542626451749.png
1542626451749.png
1542626451749.png
 
Ila Watanzania bana, si bora mngemshukuru kwa walau kupambana almost 3 years tena mtoto wa kike na walau kutoa upinzani kuliko vyama vyote vya siasa kwa pamoja! Leo mnaanza kampeni kumtibua badala walau kukaa kimya kwa heshima ya aliyofanya. Awe amepewa pesa au hajapewa lakini ni vizuri makamanda kujadili bila kejeli kama tulivyowaonya mlipoanza kumchafua Dr Slaa. Askari anapoanguka vitani jifunzeni kusonga mbele badala ya kuanza kumzodoa.
at least umekubali slaa alipotoka na kusaliti mapambano
mange sio mwanamke pekee anayepambana kwenye hizi movement
akina halima mdee wanapambana tokea kitambo tena hapa hapa na wala hawajajificha in the city of angels
 
Tuuache unafiki. Wewe mwenyewe hapo umejificha nyuma ya Keyboard unamshambulia Mange! Unadhani yeye hapendi maisha yaake

Mangapi makubwa yanatokea na mnaishia tu kuongea na kulia lia mitandaon. Mange yupo sahihi haijalish amelipwa au hajalipwa.
Labda niwaulize, Mambo yoote ambayo aliyaongea hapo kabla mmeyafanyia nini cha maana zaidi ya unafiki Tu.

Sasa ndo kamesarenda?
Kasianze basi kusema mara ooh nimewapigania sijui nini, kama kametupigania basi kamepigania wajomba zake, ndugu zake etc, na kenyewe kama kanadhani kana connection na hii nchi basi kalikuwa kanatimiza wajibu wake wa kitaifa.

Sasa kama mimi nimetimiza au sijatimiza wajibu wangu nabeba lawama lakini hiyo siyo excuse na wengine wasitimize wao

Halafu si kalijiweka front?, ndiyo maana tunauliza mbona kameufyata!. Kalikuwa kanataka hela na hivyo kamelipwa?
 
Umoufia Kwenu wana JF,

Tunakumbushana tu wadau kwamba zimebaki siku 37 kwa Mange kuzungumza/kuandika ,Baada ya hapo hautomsikia akiandika wala kuzungumza -sheikh Alhadi

MK_EC.jpg
 
Back
Top Bottom