cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Yaan wee acha tyuuh. [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Jesus!!!!!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaan wee acha tyuuh. [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Jesus!!!!!!!!
Atolewe haraka sana huyo Amos,Kila mkoa anaokwenda Amos Makalla masoko yanaungua kwanini? Kuna uhusiano gani kati ya Makalla na kuungua kwa haya masoko?
Hii nchi tunakoelekeaa....... sijui!Yaan wee acha tyuuh. [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Nao hawajifunzi tu kila siku tuwaambia wasiache mtaji wote ndani ya banda awasikiiVijana wanjinyima wanapata rizki bado wanachomewa moto mitaji yao, mnataka wawe majambazi?
Wana familia, wana watoto, wana ndugu na jamaa wanawategemea.
Hii nchi ipo siku vijana uvumilivu utawaisha.
Jah atusimamie tyuuh kwa kweli.Hii nchi tunakoelekeaa....... sijui!
Serikali nayo imechoma?Serkali yake dhaifu matokeo yake ndo haya ujinga ujinga na upumbavu!
U can do better than this, acha upumbavu mkubwa, JF ni moja ya vyanzo bora vya kuwasiliana ndani ya nchi yetu,humu kuna PS, MPs, Ministers na kuna wapumbavu kama wewe.K
Kwani samia yupo Jf??
Kina makamba wanaramba asaliVijana wanjinyima wanapata rizki bado wanachomewa moto mitaji yao, mnataka wawe majambazi?
Wana familia, wana watoto, wana ndugu na jamaa wanawategemea.
Hii nchi ipo siku vijana uvumilivu utawaisha.
Kwamba hao waliochomewa hapo ni ccm tupu?Safi sana,wakome kuishobokea CCM.Piga kiberiti hao mbwa!
Povu ulilo toa limenipa mashaka makubwa juu ya afya yako ya akiliU can do better than this,acha upumbavu mkubwa,JF ni moja ya vyanzo bora vya kuwasiliana ndani ya nchi yetu,humu kuna PS, MPs, Ministers na kuna wapumbavu kama wewe.
No more than prayers this is Tanganyika.[emoji380][emoji380]Duuh nchi yangu, tunarudishana nyuma mpaka lini?
Si vijana wa Tanzania wenye kuweza kuishiwa uvumilivu labda after two decades.Vijana wanjinyima wanapata rizki bado wanachomewa moto mitaji yao, mnataka wawe majambazi?
Wana familia, wana watoto, wana ndugu na jamaa wanawategemea.
Hii nchi ipo siku vijana uvumilivu utawaisha.
Mbona unailaumu serikali kimtindo kwa hii ajaliVijana wanjinyima wanapata rizki bado wanachomewa moto mitaji yao, mnataka wawe majambazi?
Wana familia, wana watoto, wana ndugu na jamaa wanawategemea.
Hii nchi ipo siku vijana uvumilivu utawaisha.
Hii inaniumiza sana tumeshafanyiwa mengi mabaya na hawa viongozi wetu ila cha ajabu tumetulia tu sijui tumelogwa.Watanzania tunaishiaga kulalamika mitandaoni tuhh... Dah.!