Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haki ya Mungu mpaka mmoja wa viongozi alaw......we ndo akili zitawakaa sawaJesus!!!!!!!!
Uvumilivu utaisha, itafika huo WAKATI ... wanasiasa wana-dharau sana VIJANAVijana wanjinyima wanapata rizki bado wanachomewa moto mitaji yao, mnataka wawe majambazi?
Wana familia, wana watoto, wana ndugu na jamaa wanawategemea.
Hii nchi ipo siku vijana uvumilivu utawaisha.
Hahahaaaa...... Inategemea mtu alitumia " miti shamba" gani kujipatia madaraka bwashee."Mateja wamewasha mshumaa"
Si mnachoma Makusudi kwani nani asiyejua mipango yenu ... mnalipwa kwa kodi zetu alafu mnatuchomea biashara zetu , mnataka tukale wapi wakuuChanzo cha moto huo ni nini mkuu au tunalaumu tu maadam tuna uhuru wa kuandika mawazo yetu?
ni mwaka mmoja tu ila mambo tunayoyaona dah Rest in peace Anko JPMVibanda vya wafanyabiashara wadogo 'Machinga' na mama lishe zaidi ya 30 vimeteketea kwa moto katika Soko la Karume Jijini Dar es Salaam, asubuhi ya leo Aprili 8, 2022...
Hawachelewi kusema 🤣🤣Chanzo ni Vita ya Urusi na Ukraine kombola la Urusi limekosea njia.
Ni
Ni upande wa pili tofauti na ule ulioungua mwezi wa january ambao ulikuwa ukiuzwa nguo na viatu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Chanzo ni Vita ya Urusi na Ukraine kombola la Urusi limekosea njia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]"Mateja wamewasha mshumaa"
Km najaribu kukuelewa hivi.Poleni wahanga wote.
Ukiona anayelia sana hapo ujue halilii tu pesa na mali inayoungua, wapo wanaoweka imani zao pia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee rafiki acha basi.Safi sana,wakome kuishobokea CCM.Piga kiberiti hao mbwa!
moto moto! Wenzangu mumewahi kuridhishwa na matokeo ya uchunguzi?Vibanda vya wafanyabiashara wadogo 'Machinga' na mama lishe zaidi ya 30 vimeteketea kwa moto katika Soko la Karume Jijini Dar es Salaam, asubuhi ya leo Aprili 8, 2022.
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam (ACP), Muliro Jumanne Muliro amekiri kutokea kwa moto huo na kusema chanzo cha moto hakijajulikana lakini uchunguzi unaendelea, japo taarifa za awali zilionyesha kuwa moto ulianza kwenye kibanda kimoja na kisha kusambaa.
"Kwa mazingira yalivyo pale, vibanda vingi vimebanana na vipo kila baada ya hatua mbili, hivyo moto unapotokea ni rahisi kusambaa, bahati nzuri ni kuwa umeshadhibitiwa, na watu wa usalama wapo eneo la tukio," amesema Muliro.
Naye, Kamanda wa Kikosi cha Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Ilala, Elisa Mugisha amesema timu yake imeudhibiti moto huo ambao pia umeunguza mabanda ya wafanyabiashara wa mabegi.
=================================
Majira ya muda wa saa 11 alfajiri ya leo, moto umewaka na kuteketeza soko la wamachinga wauza mabegi karume.
Matukio ya picha
Moto bado unaendelea kuwaka huku vikosi vya zimamoto na uokoaji vikiendelea na harakati ya kuuzima
View attachment 2180170