peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Majira ya muda wa saa 11 alfajiri ya leo ,moto umewaka na kuteketeza soko la wamachinga wauza mabegi karume.
Matukio ya picha
View attachment 2179975
Moto bado unaendelea kuwaka huku vikosi vya zimamoto na uokoaji vikiendelea na harakati ya kuuzima
View attachment 2179976