Munambefu
JF-Expert Member
- Jun 24, 2012
- 2,811
- 7,200
Acha upotoshaji, vile vibanda vya mabegi vipo zaid ya mita 15 kutoka barabaranilengo lilikuwa ni kuwaondoa tu wale waliifinya sana barabara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha upotoshaji, vile vibanda vya mabegi vipo zaid ya mita 15 kutoka barabaranilengo lilikuwa ni kuwaondoa tu wale waliifinya sana barabara
Inawezekana mafisadi yanalitaka hilo eneo.Mafisadi yapo kazini
Kinachoendelea Tz tumuombe Mungu tu wanataka kutengeneza tofauti kubwa ya mtajiri na maskini ifike wkt chochote anachosem tajiri unaitika ili uishi wamefeli kwenye chanjo hyo ni njama mupewe mikopo kwa sharti la chanjo dunia hii Rip Magu
Watu kila kitu wanachukulia kisiasa tu ,sijui wana pata wapi nguvu za kutoa tuhuma wasizo kuwa na ushahidi nazo.Acha upotoshaji, vile vibanda vya mabegi vipo zaid ya mita 15 kutoka barabarani
Mama anahusika vipi na uwendawazimu wenu?Mama anaupiga mwingi.
Kuna ndege anakunya moto, hata kwenye Quran ameandikwa.😄😄Hii mioto hadi raha sasa.. Utafikiri inaambizana leo tukachome wapi!
Bila kuwa na mipango mkakati makini hii mioto itaendelea na itakuwa business as usual mpaka pale itakapomaliza huki na kupiga kule kwenye chembe ya moyo..!
Habari za hivi punde Soko la kurume jijini Dar linaungua moto asubuhi hii! Vikosi vya zima moto vimeshafika kudhibiti moto huo! Upande wa wafanyabiashara wa kuuza mabegi vibanda vyao karibia vyote vimeungua! Serkali mjipange hii haikubariki! Mkuu wa mkoa pia ajipange vizuri kuna shida sehemu!
Ndo hivo tena! Anaupiga mwingi mama!Oyaa
Yeye ndie kachomaNdo hivo tena! Anaupiga mwingi mama!
Serkali yake dhaifu matokeo yake ndo haya ujinga ujinga na upumbavu!Yeye ndie kachoma