Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Serikali ya Magufuli ina behave kama vile haijashinda!
Mabavu ya nini kama kweli wameshinda kihalali na hiyo mandate ya zaidi ya asilimia 80??
Sina muda wa kusikiliza huo utumbo wapelekee hao polisi unao wasifia, kwa yeyote aliyepanga mbona hilo jeshi lenye ueledi halikuwakamata hadi leo?Sikiliza hiyo audio nani walipanga kumpiga risasi Tundu Lissu.
Hiyo ni operesheni endelevu ambayo yafahamika imepikwa kwa makusudi kuleta tafrani Tanzania.Wewe ni mjinga wa asili , watu kama ww ni hasara tupu, watu wanakatwa vichwa huko unathubutu fungua mdomo kutetea ujingaView attachment 1618085
Thubutuuuu hamuigopwi nyinyi, viongozi wenu wala wazungu wenuWrong strategy...hawa polisi wamesomea wapi huu ujinga aisee. Kuwakamata viongozi wetu kama njia ya kuzima maandamano ndio wanazidi kutuprovoke.
We will not be silent, tutaenda kuvamia vituo vya polisi na kutoka na viongozi wetu, so polisi should foresee whether umma utakapovamia vituo vya polisi kama wao watakuwa wana-exist alive
Usengez mwingine huuu.Kwani kesi ya kushambuliwa iliisha?
Ulikuwa unasubiriwa upepo wa uchaguzi tu msifikiri anakamatwa sababu ya uchaguzi japo inaweza kuwa moja ya sababu
Hell no![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ngabu umenichekesha sana, mkuu wewe unaamini hizo asilimia kweli? Angalia jinsi wanavyo behave,
"Lapses" hutokea popote pale.Mbona kule Kitaya mpaka tunashambuliwa na kuondoka hawakunasa?
No problem.Sina muda wa kusikiliza huo utumbo wapelekee hao polisi unao wasifia, kwa yeyote aliyepanga mbona hilo jeshi lenye ueledi halikuwakamata hadi leo?
Huyo ni ccm na aliandaliwa mahususi, au na hilo hulijui pia nikupe data zaidi kuhusu huyo dada?Vyombo vya usalama huwa wanafanya kazi masaa 24. Kama kuna njama mbaya walikuwa wanafanya mnataka wasikamatwe?
Mbona Queen Sendiga hajakamatwa?
No, it's a nice move.Bad move!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Amsterdam haamini kama mteja wake anakamatwa hivi hiviHivyo ndio walivokuwa wanataka
Wewe ni takataka narudia tena, hao jamaa wako hapo Mozambique mwaka wa tatu sasaHiyo ni operesheni endelevu ambayo yafahamika imepikwa kwa makusudi kuleta tafrani Tanzania...
Mmmmmmmmmm may be.Bad move!
😀😀😀Inawezekana.
Lakini usidharau kabisa mfumo wa usalama wa Tanzania kwa sasa una uwezo mkubwa wa kunasa kila kitu ndani na nje ya mipaka.
Polisi wanafuata maagizo ya intelligence na mashine nzima ya ulinzi na usalama ili Tanzania iwe salama..
Wanakosea sana.
Magufuli anajiharibia mno.